Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
yameguna 😀😀😀😅Mawazo yangu yanasemaje?
yameguna 😀😀😀😅Mawazo yangu yanasemaje?
Basi ni hivyo tuyameguna 😀😀😀😅
Mimi naamini gari usipoigongagonga hovyo body inadumu sana. Gari za siku hizi hazijaundwa kubondwabondwa.
Mwanamke anahitaji vitu viwili anenepe: chakula kizuri na kupendwa vizuri, apate amani ya moyo. Chagua kimoja nikupatie.
Okeyy sawa mkuuNimeshaenda na kurudi mkuu
Njoo upate show ya kibabeBaharia usiye na kazi mbovu twenzetu kuzurula 😆😎View attachment 1976411
Muhimu muhimu hiii.. dk ya 94 + wakajichanganya kipa hayupo gorini wala beki wote walipanda mbele 😀😀😀Jana ulifanya uvuvi ufukweni, ukapata samaki mkubwa.
Hahaha mimi mzima kabisa Bwashee sijui pande hizo
Eti anasema nijipambanieUmpatie kimoja halafu hicho kingine cha pili akapewe na mwingine?
-Kaveli-
Hatari sana wazee wa kutia mpira kambani dakika ya 95 kipindi refa kaweka filimbi mdomoni anavuta pumzi.Muhimu muhimu hiii.. dk ya 94 + wakajichanganya kipa hayupo gorini wala beki wote walipanda mbele 😀😀😀
Ishu sio kunenepa tu, je unanenepa kwa kufuata utaratibu?
Nilifika mwaka jana hapa na hiyo mitaaAt the highest point in Dar es salaamView attachment 1976585View attachment 1976588
Ishu sio kunenepa tu, je unanenepa kwa kufuata utaratibu?
Hehe halooo.Ishu sio kunenepa tu, je unanenepa kwa kufuata utaratibu?
Hali ya hewa? Kifuru?At the highest point in Dar es salaamView attachment 1976585View attachment 1976588
Mie huwa naenda mara moja moja kupanda nikipamiss. Wakati naishi huko nilikuwa napanda karibu kila wiki ila tangu nilivyohama imekuwa ngumu kuenda mara kwa mara.Nilifika mwaka jana hapa na hiyo mitaa