Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

At the highest point in Dar es salaam
20211016_161431.jpg
20211016_161530.jpg
 
Nilifika mwaka jana hapa na hiyo mitaa
Mie huwa naenda mara moja moja kupanda nikipamiss. Wakati naishi huko nilikuwa napanda karibu kila wiki ila tangu nilivyohama imekuwa ngumu kuenda mara kwa mara.

Kuna siku niliwaomba wale walinzi wanipigishe tour mule ndani plus kuingia kwenye hilo dubwasha. Yaani ukipanda huko kwenye hilo pira hadi bahari unaiona mubashara ileee.
 
Back
Top Bottom