Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Taifa lenye furaha
IMG_20210703_002327_9.jpg
 
Nina wazo la kujenga kijijini kwetu.
Hapa mjini nitaweza kweli?na tumia mia hutu twa kuokoteza.

Asante kwa wazo zuri..
Makazi popote mama si lazima ujenge mjini, sasa hivi mijini kwa asilimia kubwa kumejaa makazi yanaelekea nje ya miji.

Ila nunua gari kwanza aisee, public land transport kwa nchi yetu bado ni changamoto na ni usafiri unaodharaulika.

Tusiende mbali hapo dizonga tu kuna miji kupanda taxi (kule daladala zao wanaita taxi) ni kwa foleni na ni level seats, yaani hakuna kupigana vikumbo milangoni wala kuingilia madirishani na abiria hawasimami.

Nimejaribu kuwaza hapa bongo wangeleta hiyo system na kwenye madaladala tungeweza kweli, bongo tunatumia theory ya survival for the fittest kwenye kila kitu yaani mwenye nguvu ndiye anayepata.
 
Makazi popote mama si lazima ujenge mjini, sasa hivi mijini kwa asilimia kubwa kumejaa makazi yanaelekea nje ya miji.

Ila nunua gari kwanza aisee, public land transport kwa nchi yetu bado ni changamoto na ni usafiri unaodharaulika.

Tusiende mbali hapo dizonga tu kuna miji kupanda taxi (kule daladala zao wanaita taxi) ni kwa foleni na ni level seats, yaani hakuna kupigana vikumbo milangoni wala kuingilia madirishani na abiria hawasimami.

Nimejaribu kuwaza hapa bongo wangeleta hiyo system na kwenye madaladala tungeweza kweli, bongo tunatumia theory ya survival for the fittest kwenye kila kitu yaani mwenye nguvu ndiye anayepata.
Miaka ile wakati naletwa hapa mjini nilikuta hiyo taratibu za kupanda basi ni kwa kupanga mstari Kama unawahi namba za shule na wakati wa kushuka ilitakiwa ushukie mlango wa mbele kulikuwa hakuna haya mambo ya kupimana nguvu wala kupandia madirishani

Ila ni vyema ajenge nyumba ili siku akikwama aiendeshe😀😀😀😀
 
Makazi popote mama si lazima ujenge mjini, sasa hivi mijini kwa asilimia kubwa kumejaa makazi yanaelekea nje ya miji.

Ila nunua gari kwanza aisee, public land transport kwa nchi yetu bado ni changamoto na ni usafiri unaodharaulika.

Tusiende mbali hapo dizonga tu kuna miji kupanda taxi (kule daladala zao wanaita taxi) ni kwa foleni na ni level seats, yaani hakuna kupigana vikumbo milangoni wala kuingilia madirishani na abiria hawasimami.

Nimejaribu kuwaza hapa bongo wangeleta hiyo system na kwenye madaladala tungeweza kweli, bongo tunatumia theory ya survival for the fittest kwenye kila kitu yaani mwenye nguvu ndiye anayepata.
Mwendokasi kupanda ni kwa foleni.
Imaginehapa naenda sota Kwenye foleni ya kupanda mwendokasi

Wakati wa kwenda afadhali kuna usimizi na utaratibu mzuri,,wakati wa kurudi kituo nilichopandia Janawalitaka watu wawameze wasimamizi kwa hasira.

Gari ni muhimu mno.
 
Miaka ile wakati naletwa hapa mjini nilikuta hiyo taratibu za kupanda basi ni kwa kupanga mstari Kama unawahi namba za shule na wakati wa kushuka ilitakiwa ushukie mlango wa mbele kulikuwa hakuna haya mambo ya kupimana nguvu wala kupandia madirishani

Ila ni vyema ajenge nyumba ili siku akikwama aiendeshe
Wewe unaongelea miaka ile
Hata Sasa foleni zipo Kwenye mwendokasi..
Jana kuna mtu akapanda ,akamuwekea mwenzie nafasi Kwa kuweka mzigo Kwenye siti..watu wamefika wakae anang'ang'ania seat eti amemuwekea mtu ambaye foleni yake haijafika
Watu walimshambulia,yaani Jana ilikuwa ni vituko
 
Miaka ile wakati naletwa hapa mjini nilikuta hiyo taratibu za kupanda basi ni kwa kupanga mstari Kama unawahi namba za shule na wakati wa kushuka ilitakiwa ushukie mlango wa mbele kulikuwa hakuna haya mambo ya kupimana nguvu wala kupandia madirishani

Ila ni vyema ajenge nyumba ili siku akikwama aiendeshe
Siyo mbaya labda wengine wanaona fahari kupigania siti kwenye madaladala, acha wajenge kwanza wasije wakafa wakapata Aibu kuwa walishindwa kuacha hata kakibanda.
 
Mwendokasi kupanda ni kwa foleni.
Imaginehapa naenda sota Kwenye foleni ya kupanda mwendokasi

Wakati wa kwenda afadhali kuna usimizi na utaratibu mzuri,,wakati wa kurudi kituo nilichopandia Janawalitaka watu wawameze wasimamizi kwa hasira.

Gari ni muhimu mno.
Hizo foleni si zimeanza juzi tu hapa, zamani watu walikuwa wanapigana vikumbo hadi wanaharibu milango ikawa haifungiki automatically tena yaani dereva akibonyeza hola.

Na kwenye mwendokasi kuangushwa na kukanyagwa kisha watu wakapita juu yako ni jambo la kawaida sana, mabasi yao mengi sasa hivi yameharibika yamepaki tu pale gerezani.

Ndiyo maana kupunguza uharibifu wakaona waanze kuweka foleni, tena napo ni kwa vile vituo vikubwa ambapo gari ndiyo zinaanzia na pia suala la level seats bado ni changamoto.

Sasa ndiyo nikajiuliza hiyo system ingeletwa na kwenye madaladala ingewezekana kweli maana si kila mtu anapanda mwendokasi, wabongo tushazoea kutumia nguvu tu yaani.
 
Wewe unaongelea miaka ile
Hata Sasa foleni zipo Kwenye mwendokasi..
Jana kuna mtu akapanda ,akamuwekea mwenzie nafasi Kwa kuweka mzigo Kwenye siti..watu wamefika wakae anang'ang'ania seat eti amemuwekea mtu ambaye foleni yake haijafika
Watu walimshambulia,yaani Jana ilikuwa ni vituko
Angalau kwenye mwendokasi ndiyo naonaga kuna utaratibu mzuri, kwenye madaladala watu wanawekeana siti vizuri tu na hakuna mtu anasema chochote ukichelewa kuwa mpole tu.

Na kwenye madaladala kumpisha kilema, mzee au mama mjamzito ni uamuzi tu ila kwenye mwendokasi hao watu wana siti zao kabisa na mtu mwingine haruhusiwi kukalia.
 
Hizo foleni si zimeanza juzi tu hapa, zamani watu walikuwa wanapigana vikumbo hadi wanaharibu milango ikawa haifungiki automatically tena yaani dereva akibonyeza hola.

Na kwenya mwendokasi kuangushwa na kukanyagwa kisha watu wakapita juu yako ni jambo la kawaida sana, mabasi yao mengi sasa hivi yameharibika yamepaki tu pale gerezani.

Ndiyo maana kupunguza uharibifu wakaona waanze kuweka foleni, tena napo ni kwa vile vituo vikubwa ambapo gari ndiyo zinaanzia na pia suala la level seats bado ni changamoto.

Sasa ndiyo nikajiuliza hiyo system ingeletwa na kwenye madaladala ingewezekana kweli maana si kila mtu anapanda mwendokasi, wabongo tushazoea kutumia nguvu tu yaani.

Yaani kumbe utaratibu wameuweka hivi karibuni!

Ila pale gerezani utaratibu wao mbovu sana aisee,jamaa hata hawaangalii foleni ..Jana abiria walikasirika wakatamani wawapige wasimamiziila duniani kuna matukio nyie

Mbezi kidogo wapo active.. Yaani ukiviruga mstari ukajipachika wanakuja kukutoa bila kujali ni mtu mzima au nani
 
Siyo mbaya labda wengine wanaona fahari kupigania siti kwenye madaladala, acha wajenge kwanza wasije wakafa wakapata Aibu kuwa walishindwa kuacha hata kakibanda.
umeona eeeh!
Ukiwa na usaifiri unapunguza purukushani na usumbufu wa kugombana na watu.

Huku unajenga taratibu..ujenzi huwa hauishi haraka hasa Kwa watu wenye vipato vya kuunga unga.
Sasa fikiria miaka yote 10 umetanguliza kujenga huku unagombania daladala au foleni za mwendokasi.
 
Pole dada Saint Anne huo Usafiri kupanda lazima utumie msuli, ukisimama unaweza ukakutana na bazazi anakuchobea mgongoni.

Mimi vituo vyangu ninavyopanda probability ya kupata siti ni kubwa..labda tu niamue mwenyewe kusimama.
Napandia gari linapoanzia route.


Asubuhi huwa nasimama Kwa sababu mbili;
Ili niwahi,sipangi foleni ya kukaa.
Pia ni sehemu ya kufanya mazoezi..maana nisiposimama hapo ndio basi tena hadi jioni.
Na huwa nasimama Sehemu zile zenye maungio ya gari au mwisho wa gari (Kwa magari Yale madogo)..hakuna purukushani za kubambiana.
 
Unayaogopea nini? Yan we ni kaoga ka vitu vingi.

Anzia cruiser za porini, hardtop nk

Kruza nimepanda sana miaka ya nyuma
Kuna siku kruza si ikapinduka, kulikuwa na utelezi barabara ya vumbi nililia..akili za kitoto.

Kule gari kusererekea pembeni ni kawaida,ikiserereka dereva anairudisha.

Gari kubwa mno za kubabe nazitamani ila jinsi zilivyoning'inia juu ni changamoto.
 
Back
Top Bottom