Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Napenda sana kumuona dereva anavyoendesha.
Najisikia raha,hapo tukipiga stori mbili tatu basi route inakuwa fupi hata kama kuna foleni.

Naliona jiji vizuuuri jinsi lilivyobadilika kama nipo ulaya huko.
Nafurahi kuona ubungo hapana foleni tena,kuna mwaka nilichelewa bus hivihivi kwa sababu ya mataa na foleni hapa.
Halafu Kuna kima wanasema"Magufuli hakufanya kitu"View attachment 1880020
Duh hapa ni Bongo?
 
Napenda sana kumuona dereva anavyoendesha.
Najisikia raha,hapo tukipiga stori mbili tatu basi route inakuwa fupi hata kama kuna foleni.

Naliona jiji vizuuuri jinsi lilivyobadilika kama nipo ulaya huko.
Nafurahi kuona ubungo hapana foleni tena,kuna mwaka nilichelewa bus hivihivi kwa sababu ya mataa na foleni hapa.
Halafu Kuna kima wanasema"Magufuli hakufanya kitu"View attachment 1880020
Achana nao hao, wazee wa boko haram..

Ila tusiwajadili hapa tutaharibu uzi
 
Duh.. Hivi hilo VXR kodi itakuwa bei gani?
Screenshot.png
 
89 Reactions
Reply
Back
Top Bottom