Boogman
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 2,402
- 5,497
Kale kanjia ka kuingia na kutoka lami hua kunatokea ajali sn pale mkuu!ndio ndio ipo pale kwenye kiziwa , mwaka juzi maji yalifanya sana yake pale.. huwa napapenda kwa ajiri ya ile view yake
Kale kanjia ka kuingia na kutoka lami hua kunatokea ajali sn pale mkuu!ndio ndio ipo pale kwenye kiziwa , mwaka juzi maji yalifanya sana yake pale.. huwa napapenda kwa ajiri ya ile view yake
Naenda , mlimaniNilipiga mzinga kaka kipande ya ngarasero to waso km waenda loliondo brbr ni changamoto haswasema wee utaenjoy maana waishia ngorongoro full lami.
Kuna kipindi waliamua weka trafic pale mda woteKale kanjia ka kuingia na kutoka lami hua kunatokea ajali sn pale mkuu!
Napapata pale sema pako expensive sanaYap unapumzika counter pale ukitazama watoto wa kinyatu wanavyorukaruka kwa swimming
Njia ipi hiyo?Leo nimepigwa tochi 146 kwenye hizi 50 za maporini
Hao jamaa mi nawakazia sana ingawa wengine ni wabishi kwelikweli yaaniLeo nimepigwa tochi 146 kwenye hizi 50 za maporini
Huwa sipendi kucheza mbali na dereva..kuna raha kukaa karibu na dereva.Safi!
Umeona ulikaa kribu na dere?
Sasa holyman next time kama nikiwa singida nichecki. kwa pale singida mjini kama unafika kwa regency hoel ni jirani yangu na KBH wote ni jamaa zangu na nimajirani unatembea tu dakika tano pale ziwani unafika homeHapo morogoro huwa kituo changu cha kwanza, nachapa kahawa nakutulia tulia, dodoma huwa kituo cha pilis pale Kahawa Cafe dodoma, kama naenda mwanza, kituo kinachofatia Regacy hotel singida.. huwa nikitoka hapo nanyooka hadi mwanza, au tabora au geita
KBH napajua vizuri sana mkuu.. Mwanzo kipindi machine ya kahawa nzima, nilikuwa napenda ipigia pale.. Nilikuwa napenda kwenda kula mbuzi pale rwezaula.. kuna kazi nakuja fanya hapo wiki kama mbili na itachukua mwaka mzimaSasa holyman next time kama nikiwa singida nichecki. kwa pale singida mjini kama unafika kwa regency hoel ni jirani yangu na KBH wote ni jamaa zangu na nimajirani unatembea tu dakika tano pale ziwani unafika home
Wazuri hao na wanapenda hao, kuna katoto kamoja kalikuwa kana itwa ka antonia kama kanyarwanda kalinifanyaga kila asubuhi naamkia pale kupiga mushroom soup kama ka nyarwanda flani hivi kalichanya damu kale mnyaturu na mnywarwanda ni shidaaaYap unapumzika counter pale ukitazama watoto wa kinyatu wanavyorukaruka kwa swimming
Kwa hiyo uliangalia tu ama....Wazuri hao na wanapenda hao, kuna katoto kamoja kalikuwa kana itwa ka antonia kama kanyarwanda kalinifanyaga kila asubuhi naamkia pale kupiga mushroom soup kama ka nyarwanda flani hivi kalichanya damu kale mnyaturu na mnywarwanda ni shidaaa
hiyo sawa m hata ukitoa fine, sio tochi ya kwenye 60Leo nimepigwa tochi 146 kwenye hizi 50 za maporini
Kwa hiyo uliangalia tu ama....
Unafaidi vitu vingi, kwanza unafaidi dereva akipangua gia na huku unafaidi madhali ya jijiHuwa sipendi kucheza mbali na dereva..kuna raha kukaa karibu na dereva.
Halafu nataka nilione jiji vizuri,si unajua watu wa mkoani tuna ushamba mwingi, tunashangaa hadi mwendo kasi na fly-over
Napenda sana kumuona dereva anavyoendesha.Unafaidi vitu vingi, kwanza unafaidi dereva akipangua gia na huku unafaidi madhali ya jiji