Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Kabisa broMbagala hii...
Kabisa broMbagala hii...
Ndiyo maana nikaomba radhi.Haukuwa na haja ya kuleta maana havikuwa vinaendana na mada pia za kutokuje na Yesu
Ina mkeka mzuri sana inafanyiwa ukarabati, sema nije na korosho kilo ngapi?Sijapita hio njia zaidi ya miaka mitano sasa
5w30 kwa gari zenye low mileage, 5w40 kwa gari aged kidogo.Sina uzoefu wa gari za turbo, engine oil ipi nzuri unaweza recomend kwa gari za turbo ? hasa za ulaya, kuna wanao sema ni vizuri kutumia 5w 30 kwasababu ni nyembamba haiwezi ziba kwenye turbo, na wengine wanasema 15 w 40 kwakua mazingira yetu yana joto. kwa uzoefu wako ipi inafaa
😃😃Tanga Beach kuna bend leo, Tanga pazuri ndo usiombe mchelemchele kama wote, ukitaka utulivu nenda Mkonge au pale Lulu Image ukale samaki aliyevuliwa usiku huu😃😃 Huku ukisindikizwa na mziki mtamu.Leo mji WA Tanga umechangamka balaa!
low mile zinaishia ngapi ? na aged kidogo huanzia km ngapi5w30 kwa gari zenye low mileage, 5w40 kwa gari aged kidogo.
Nipo Tanga beach. Kuko vizuri sana😃😃Tanga Beach kuna bend leo, Tanga pazuri ndo usiombe mchelemchele kama wote, ukitaka utulivu nenda Mkonge au pale Lulu Image ukale samaki aliyevuliwa usiku huu😃😃 Huku ukisindikizwa na mziki mtamu.
Tanga hatareee
Below kwa yenye 60,000 to 99000 5w 30 itafaa ?Low kama 40,000-60,000 hivi. Aged over 100,000km
ShukraniHio tumia 5w40
safi kabisa, mnafukuza upepo
Mzee una plug ya Kasie 😂
Duh leo mnaniacha Hoi na comments zenu
sema nije na korosho kilo ngapi?
Karibu sana mi huwa nabadilika kulingana na mazingira kama bahari 😎Ni vile tu wewe ni extrovert, ungekuwa introvert ningekujia PM.
Karibu sana mi huwa nabadilika kulingana na mazingira kama bahari 😎