Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,696
- 225,393
Unacheza na mie eeh.. hapa gusa unate
Siwezi kugusa maana ni mambo yasiyo ya muhimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unacheza na mie eeh.. hapa gusa unate
Inakuja PM huko 😉mbona hujanitumia pdf ya hiyi booking... unatania wewe
Hamjui njaa watoto wa kishua nyie.Hawa nafikri hawajawai sex, au kukutana na ile sex pro max.. ndio wangeelewa kuwa chakula kinafatia sex.. mie mtu wangu akifika cha kwanza kabla ya msosi analiwa yeye then ndio chakula
Kwamba ni ulimbo?Unacheza na mie eeh.. hapa gusa unate
😆😆 Ila weweSasa mtu amedunduliza laki anasema yeye ni masikini
Humu hiyo laki wengine hatuwezi kudunduliza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Au nasema uongo?Ila wewe
Nitajie chakula unachodhani ni kitamu kuliko orgasm?Hee
Hikihiki chakula ninachokifahamu!
Kuna kitu ni kitamu dunia hii Kama chakula???
Acheni utani, Mimi nipo serious.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui kuhusu maisha ya hao watu.Njaa unaijua vizuri kweli brother??
Mbona mapadre na masister wanaendelea na kazi zao tu vizuri!?!
Sex siyo muhimu,chakula ndio kila kitu Jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani aliwaona wanapeana?Hujui kuhusu maisha ya hao watu.
Wanapeana mambo kuliko nyie mlio mitaani.
Vyakula vyote tu duniani hapa.Nitajie chakula unachodhani ni kitamu kuliko orgasm?
Hii ni balaa. Take care broTushaingia Green City na pikipiki kutokea Dar....
Tunatembelea sana Mbeya boss
View attachment 1870918
mysterio
Mm kuna wakati ilikua ni kawaida kwanzia j4 mpaka jumapili nalala kwenye gari. Mpaka nilipo kuja kuona video ya driver mwingine kafa kwa kukosa hewa ndani ya gari, mwingine alishusha vioo kidogo ili hewa ipite waka mpulizia dawa. Wakachomoa vitu vingi. Kaja kustuka saa nne asubuhi gari imebaki fuvu.Lifestyle hii lazima tu utalala kwenye gari mara moja moja. Kwetu tunaotafuta mkate kwa kuzurura hili halikwepeki.
Gari zinatusitiri sana.
Dah hii tabia ni risky sana, ila mtu unaangalia na usalama wa sehemu unayoegesha gari kabla hujalala humo ndaniMm kuna wakati ilikua ni kawaida kwanzia j4 mpaka jumapili nalala kwenye gari. Mpaka nilipo kuja kuona video ya driver mwingine kafa kwa kukosa hewa ndani ya gari, mwingine alishusha vioo kidogo ili hewa ipite waka mpulizia dawa. Wakachomoa vitu vingi. Kaja kustuka saa nne asubuhi gari imebaki fuvu.
Jichange tu then unafumba macho.
Sijui this time 88 itakuwepo?Hapana siwezi bora hiyo hela niombe lift humu ijumaa jioni naelekea Arusha Narudi Jumapili jioni na furushi la maua
Ubwabwa wa nazi na maharage 😂Nitajie chakula unachodhani ni kitamu kuliko orgasm?
Ukisex unapunguza stressUnajua unapo fanya sex nini hutokea mwilini ? na uniambie unapo kula hutokea nini na pia nielezee kuhusu meditation hutokea nini.. Sex ipo juu ya vyote hivyo na ninaweza kukufanunulia from zero to infinity
Teh teh hadi hapo ushaishiwa hoja tufunge tu mjadala
Mie sikusema usile chakula kabisa, ila mie kwangu muhimu ni hicho then ndi mambo mengine yanafatia.Ukisex unapunguza stress
Lakini ukila unaishi
Stress zinaweza kupunguzwa kwa njia nyingi mno siyo lazima sex na mtu akaishi ila niambie njaa inaweza kumalizwa kwa mbadala gani mwingine ili mtu aishi kama siyo kula tu