Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 46,619
- 185,943
Priorities ina matter sana. Mf, me sina hela ila hii week nimepunguza anasa kwenye mlo nataka nikanunue flower vessels.Hela kkishakuwa ya mawazo mtu hawezi kuiunguza tena kwenye nauli.
Yaani kula ale kwa shida,halafu ajilipue tena kuchoma nauli eti anaenda kutembea!.
Punguza ubishi usio na tija aunt subaru 😂