Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Road trip zangu panapo majaliwa kuanzia mwakani nikipata Pick up "Bakkie" iwe Nissan Hardbody au Toyota Hilux Single Cabin kwa mwezi itanilazimu kutembea +4000km. Dar-Mwanza-Musoma-Bukoba-Kampala-Kisumu-Kigoma-Rukwa-Mbeya-Songea Nyasa-Lindi-Mtwara-Pwani-Tanga-Dar.

Katika kupambana na fursa hapa Tanzania itanilazimu niwe napita kwenye maziwa na bahari, gari siti mbili za mbele zinatosha vingine anasa.

Tutawanyike kwenye uso wa dunia tukatafute riziki.
Another Inspiration
 
Road trip zangu panapo majaliwa kuanzia mwakani nikipata Pick up "Bakkie" iwe Nissan Hardbody au Toyota Hilux Single Cabin kwa mwezi itanilazimu kutembea +4000km. Dar-Mwanza-Musoma-Bukoba-Kampala-Kisumu-Kigoma-Rukwa-Mbeya-Songea Nyasa-Lindi-Mtwara-Pwani-Tanga-Dar.

Katika kupambana na fursa hapa Tanzania itanilazimu niwe napita kwenye maziwa na bahari, gari siti mbili za mbele zinatosha vingine anasa.

Tutawanyike kwenye uso wa dunia tukatafute riziki.
Amen
 
Mkuu Holy man naomba 'uitest' Audi A 4 trip ya dar_dom kwa kumaliza kisahani,halafu tuambie utatumia muda gani?last time ukiwa na subaru ulitumia 4:30HRS.
Hii test yake nzuri mchana, usiku nitaiua gari ipo chini sana na sipendagi modification ya kunyanyua gari . Na mchana itabidi kujipanga sana kukabilina na trafic. Ila nilitest NZEGA to TBR kuna 127 km, nimetumia dk 30 .. kipande kizuri sana kilehakina tuta wala nini
 
Acha kabisa aise barabara mbaya sijapata kuona! Nilikuwaga nasikia tu kuwa Nyang'oro kuna kona mbaya kuliko hata Kitonga nikawa nabisha maana mimi nilikuwa naamini Kitonga ndiyo kuna kona mbaya ila jana ndiyo nikajionea mwenyewe!

Kweli kwa Nyang'oro Kitonga inasubiri aise! Maana Nyang'oro kuna kona mbaya halafu barabara zake nyembamba kuna sehemu mnapita hadi unajiuliza hivi hapa magari mawili yanapishana kweli hapa bora hata Kitonga kona zake zina space kidogo!

Halafu Kitonga huwa panachukua takriban dakika 10 kupamaliza ila Nyang'oro ni karibu dakika 20 hivi! Ila zaidi ya yote nimependa ile view ya Mtera Dam inavyoonekana kwa chini!
Hujapiga hata picha hiyo view ya mtera,si unajua ukifatilia huu uzi na unajiona kama upo safarini vile..
 
Hii test yake nzuri mchana, usiku nitaiua gari ipo chini sana na sipendagi modification ya kunyanyua gari . Na mchana itabidi kujipanga sana kukabilina na trafic. Ila nilitest NZEGA to TBR kuna 127 km, nimetumia dk 30 .. kipande kizuri sana kilehakina tuta wala nini
Imetosha mkuu bado unahitajika na jamii inayokuzunguka na JF pia.
 
Back
Top Bottom