Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
Tunadumu tu mkuuCc wa IST Tough road Trip Tutadumu kweli ¿
Tunadumu tu mkuuCc wa IST Tough road Trip Tutadumu kweli ¿
Another InspirationRoad trip zangu panapo majaliwa kuanzia mwakani nikipata Pick up "Bakkie" iwe Nissan Hardbody au Toyota Hilux Single Cabin kwa mwezi itanilazimu kutembea +4000km. Dar-Mwanza-Musoma-Bukoba-Kampala-Kisumu-Kigoma-Rukwa-Mbeya-Songea Nyasa-Lindi-Mtwara-Pwani-Tanga-Dar.
Katika kupambana na fursa hapa Tanzania itanilazimu niwe napita kwenye maziwa na bahari, gari siti mbili za mbele zinatosha vingine anasa.
Tutawanyike kwenye uso wa dunia tukatafute riziki.
Ndio penyewe haswaaa.. lazima nipoite hapo kugonga Americano, kuna dogo mmoja huwa ananitengezea kama ninavyo taka na kuipendaCate hotel Moro?!
Eeh mie mdau sanaHahaaa kivipi na wewe ndiyo mambo yako nini hayo
AmenRoad trip zangu panapo majaliwa kuanzia mwakani nikipata Pick up "Bakkie" iwe Nissan Hardbody au Toyota Hilux Single Cabin kwa mwezi itanilazimu kutembea +4000km. Dar-Mwanza-Musoma-Bukoba-Kampala-Kisumu-Kigoma-Rukwa-Mbeya-Songea Nyasa-Lindi-Mtwara-Pwani-Tanga-Dar.
Katika kupambana na fursa hapa Tanzania itanilazimu niwe napita kwenye maziwa na bahari, gari siti mbili za mbele zinatosha vingine anasa.
Tutawanyike kwenye uso wa dunia tukatafute riziki.
Mkuu huko kwenye greens nitashare baada ya safari, moshi mojaSafiri salama....usisahau picha za green views
Tunadumu vizuri sana boss..Cc wa IST Tough road Trip Tutadumu kweli ¿
Hii test yake nzuri mchana, usiku nitaiua gari ipo chini sana na sipendagi modification ya kunyanyua gari . Na mchana itabidi kujipanga sana kukabilina na trafic. Ila nilitest NZEGA to TBR kuna 127 km, nimetumia dk 30 .. kipande kizuri sana kilehakina tuta wala niniMkuu Holy man naomba 'uitest' Audi A 4 trip ya dar_dom kwa kumaliza kisahani,halafu tuambie utatumia muda gani?last time ukiwa na subaru ulitumia 4:30HRS.
Hujapiga hata picha hiyo view ya mtera,si unajua ukifatilia huu uzi na unajiona kama upo safarini vile..Acha kabisa aise barabara mbaya sijapata kuona! Nilikuwaga nasikia tu kuwa Nyang'oro kuna kona mbaya kuliko hata Kitonga nikawa nabisha maana mimi nilikuwa naamini Kitonga ndiyo kuna kona mbaya ila jana ndiyo nikajionea mwenyewe!
Kweli kwa Nyang'oro Kitonga inasubiri aise! Maana Nyang'oro kuna kona mbaya halafu barabara zake nyembamba kuna sehemu mnapita hadi unajiuliza hivi hapa magari mawili yanapishana kweli hapa bora hata Kitonga kona zake zina space kidogo!
Halafu Kitonga huwa panachukua takriban dakika 10 kupamaliza ila Nyang'oro ni karibu dakika 20 hivi! Ila zaidi ya yote nimependa ile view ya Mtera Dam inavyoonekana kwa chini!
Ooh sema we nakuaminia sana, you are a jack off all trades I guess.Eeh mie mdau sana
Yes kweli mkuu! Pale Mtera sijui kwanini sikupiga picha yaani eti picha nilianza kupiga tulivyoianza Nyang'oro!Hujapiga hata picha hiyo view ya mtera,si unajua ukifatilia huu uzi na unajiona kama upo safarini vile..
Itakuwa ulisoma bango la "MARUFUKU KUPIGA PICHA HAPA, AMRI"Yes kweli mkuu! Pale Mtera sijui kwanini sikupiga picha yaani eti picha nilianza kupiga tulivyoianza Nyang'oro!
Next time upige picha,huu uzi mzuri sana tunasafiri pamoja.Yes kweli mkuu! Pale Mtera sijui kwanini sikupiga picha yaani eti picha nilianza kupiga tulivyoianza Nyang'oro!
Hahahaaa kumbe hairuhusiwi kupiga picha ile sehemuItakuwa ulisoma bango la "MARUFUKU KUPIGA PICHA HAPA, AMRI"
Sawa sawa mkuuNext time upige picha,huu uzi mzuri sana tunasafiri pamoja.
Ndiyo, usithubutu kukutwa.Hahahaaa kumbe hairuhusiwi kupiga picha ile sehemu
Imetosha mkuu bado unahitajika na jamii inayokuzunguka na JF pia.Hii test yake nzuri mchana, usiku nitaiua gari ipo chini sana na sipendagi modification ya kunyanyua gari . Na mchana itabidi kujipanga sana kukabilina na trafic. Ila nilitest NZEGA to TBR kuna 127 km, nimetumia dk 30 .. kipande kizuri sana kilehakina tuta wala nini
Siku ukipiga utabaki hapohapo.Yes kweli mkuu! Pale Mtera sijui kwanini sikupiga picha yaani eti picha nilianza kupiga tulivyoianza Nyang'oro!