Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Full loaded kuitafuta Arusha, mda siyo mrefu
20210610_110512.jpg
 
Road trip zangu panapo majaliwa kuanzia mwakani nikipata Pick up "Bakkie" iwe Nissan Hardbody au Toyota Hilux Single Cabin kwa mwezi itanilazimu kutembea +4000km. Dar-Mwanza-Musoma-Bukoba-Kampala-Kisumu-Kigoma-Rukwa-Mbeya-Songea Nyasa-Lindi-Mtwara-Pwani-Tanga-Dar.

Katika kupambana na fursa hapa Tanzania itanilazimu niwe napita kwenye maziwa na bahari, gari siti mbili za mbele zinatosha vingine anasa.

Tutawanyike kwenye uso wa dunia tukatafute riziki.
 
Road trip zangu panapo majaliwa kuanzia mwakani nikipata Pick up "Bakkie" iwe Nissan Hardbody au Toyota Hilux Single Cabin kwa mwezi itanilazimu kutembea +4000km. Dar-Mwanza-Musoma-Bukoba-Kampala-Kisumu-Kigoma-Rukwa-Mbeya-Songea Nyasa-Lindi-Mtwara-Pwani-Tanga-Dar.

Katika kupambana na fursa hapa Tanzania itanilazimu niwe napita kwenye maziwa na bahari, gari siti mbili za mbele zinatosha vingine anasa.

Tutawanyike kwenye uso wa dunia tukatafute riziki.
All the best.
 
Thanks Dualis Driver, you save me from the 50km/hr traffic camera 🎥.

View attachment 1810176

Yaani alikuwa mbele yangu anaenda mwendo mdogo nikasema huyu anatongoza demu aamaaa..! Wakati barabara ilikuwa nyeupe inaita.

Kushoto nako kuna daladala ndo kwanza inadema.... nikawa mpole, usawa wa geti la COTEX nikaona yangeyange na camera yao daaah...!!

Nikajukuta nalibusu Dualis by far, ila sasa baada ya kuwapita askari alitumua mbiooo hadi nikashindwa soma plate number zake....😊.

Hizi tochi Daslam tulishazisahau naona zimerudi.... Mungu anisaidie nilegeze kisigizo maana elf 30 kuipa sirikali inaumaa 🤨.

Kasie Matata.
Shukrani mkuu kwa angalizo. Nimepona sehemu mbili j3 hii njia ya tegeta na kabla tu ya kuingia kibamba
 
...kuna ming'oko mingi sana huko mjomba..
Pia napenda Masasi yale mawe makubwa...
Kule mtwara kuna beach nzuri mfano Mikindani na Shangani...

Lakini pia kuna watoto wa Kimakonde, Kiyao na Kimakua....
Kutongoza hawa ni simple sana...mwambie tu unamleta mjini....atajibu .."Baa! Namie naenda njini..?" Hapo tayari umeshajiopolea......
Mkuu shukrani kwa muongoza, nimefika salama.
Nimekuta sehemu nyingi wanarekebisha barabara, kunasehemu kulikua na mashimo ya kushtukiza hatari
 
Back
Top Bottom