Upate kitoweoKwa swala sio mbaya kama wataruhusu uondoke nae!
Kuna mmoja nilimuwakia akanote leseni na namba ya gari aiandikie na mimi nikanote PC namba yake; hakuandika ile fine.Anakujaribu huyo. Mchenjie atakuwa mpole.
Km50 za mbuga zinaisha ndani ya dakika chache tu, usiku raha sanaJana tulikiwasha pale mikumi, kama hizo fine hazipo
Ukirudi kwenye gari zetu unaona kama umekalia kigodaKuna gari ukisha kaa, then uka shift kwenye hizi gari zetu, unahisi kama umeingia dunia ingine .. RR ukiwa nayo hauwi mtu wa meneno maana uwezo wake sio wa kulinganisha na hizi zingine .. na hata route nilifanya iwe ndefu, nilianza kariua - tabora - Dodoma - Morogoro - Iringa - then nikarudi Mahenge - Alafu Dar es Salaam
Sometimes wanakubambikia ili 'uongee' nao wanajua hupendi kupoteza muda. Inasikitisha!Kuna mmoja nilimuwakia akanote leseni na namba ya gari aiandikie na mimi nikanote PC namba yake; hakuandika ile fine.
Siku nyingine nikapita nikamsalimia nikampa ya chai tukaheshimiana
Usiku wa kuamkia leo mkuu... angalia tarehe na saa kwenye jina la picha.Lini hii mkuu.. mie jana nimepita hapo kama hakuna speed limit
Huo msemo nadhani nilimuona witnessj kama sikosei aliusema, alikuwa anaelezea jinsi hapendi kuendesha hizi babywalker zetu.Aisee!
Ila ukizoea SUV ukishuka kwenye sedan unaona kama unaburuza makalio chini!Huo msemo nadhani nilimuona witnessj kama sikosei aliusema, alikuwa anaelezea jinsi hapendi kuendesha hizi babywalker zetu.
Sijawahi kuusahau aisee. Kigoda!
Hahaaaaaa duuuhIla ukizoea SUV ukishuka kwenye sedan unaona kama unaburuza makalio chini!
Safari njemaNaingia barabarani wakuu, mkeka wa Iringa - Mbeya. View attachment 1784263
😀😀😀😀 unaona kabisa kuna kitu hakipo sawa.. tuzisake.tu.helaUkirudi kwenye gari zetu unaona kama umekalia kigoda
Shukrani mkuuSafari njema
Nchi kubwa hii huwezi kuimaliza
Jamaa ana energy na mapenzi ya kuendesha.
Kitaifa umebakiza kufika mikoa ipi?Matamanio yangu nikanyage kila eneo la nchi...
Hata ikiwa kwa kupita tuu..