Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,229
- 36,250
Umefurahi nininwee sukariii...
Nna kiwi ya kula ashikirimu wiki hii, snowcream patahusika....🤔
hakuomba namba ya simu?Aaiseeeh, polee.
Mungu aniepushie mbali yasinikute.
Ila kuwa mwanamke raha, nakumbuka ilikuwa mida ya saa 11 jioni nakaribia mataa ya tegeta wazo way tairi ika pancha, nakumbuka alitokea kaka hata simfahamu akaniombea chance nikatoka upande wa kulia na kupaki karibu nanile sheli. Akaniambia spea tairi iko vizuri nikamwambia ndio, lete spana jeki...
Keshaleta mawe kaweka kwenye tairi huyo ndani ya dakika 5 tayari. Nikawa naogopa ntamlipa shilingi ngapi maana hatukuoatana bei, alipomaliza nikamwambia unandai shilingi ngapi akakataa akavuka barabara huyoo akaondoka.
Sikuamini kuwa amenisaidia hivi hivi tuu, nikaendelea njia nzima natabasamu hadi nyumbani.
Sijui kama wanaume wanasaidiaga wanaume wenzao bila kiwachaji.
Barabara mbovu, ila location imekaa poah sana
Ile michezo ya mtu katoa na wewe unatoa bila kujihakikishia ndio inakuwaga na majibu haya.Kauziwa "kicheche"
Tuzingatie kanuni ya sekunde tatu tunapoongozana barabarani, keep your distance, elfu moja na moja elfu moja na mbili.
Kwa madereva waliopitia shule ya udereva watakuwa wamenielewa.
Aidha, kwa madereva ambao hawajabahatika kupitia darasani, hakikisha tu gari iliyo mbele yako umbali baina ya gari hiyo na gari yako ni wa kutosha kiasi kwamba hata akisimama ghafla basi na wewe uweze kusimama bila kusababisha hatari ama ajali.View attachment 1780143
Ha ha ha hivi ushaona madereva wetu? Mmoja akitoka wote wanafuata kama nyumbu? Huwa najiuliza hawa wana akili kweli?Kauziwa "kicheche"
Tuzingatie kanuni ya sekunde tatu tunapoongozana barabarani, keep your distance, elfu moja na moja elfu moja na mbili.
Kwa madereva waliopitia shule ya udereva watakuwa wamenielewa.
Aidha, kwa madereva ambao hawajabahatika kupitia darasani, hakikisha tu gari iliyo mbele yako umbali baina ya gari hiyo na gari yako ni wa kutosha kiasi kwamba hata akisimama ghafla basi na wewe uweze kusimama bila kusababisha hatari ama ajali.View attachment 1780143
Petrol mkuuPetrol or Diesel?
Utamwagika sana .......itakuwa usiku km kawaida yako au ?Petrol mkuu
Siyo michezo mizuri kabisa. Almanusura uso kwa uso na lori maeneo ya Kongowe.Ile michezo ya mtu katoa na wewe unatoa bila kujihakikishia ndio inakuwaga na majibu haya.
Kauziwa "kicheche"
Tuzingatie kanuni ya sekunde tatu tunapoongozana barabarani, keep your distance, elfu moja na moja elfu moja na mbili.
Kwa madereva waliopitia shule ya udereva watakuwa wamenielewa.
Aidha, kwa madereva ambao hawajabahatika kupitia darasani, hakikisha tu gari iliyo mbele yako umbali baina ya gari hiyo na gari yako ni wa kutosha kiasi kwamba hata akisimama ghafla basi na wewe uweze kusimama bila kusababisha hatari ama ajali.View attachment 1780143
hakuomba namba ya simu?
Ha ha ha hivi ushaona madereva wetu? Mmoja akitoka wote wanafuata kama nyumbu? Huwa najiuliza hawa wana akili kweli?
Anaetaka lift kutoka Tabora kwenda Iringa 😬😬..
Aina ya gari Range Sport ya kuazima 😀😀😀
Kesho naenda Arusha via Bagamoyo from DarAnaetaka lift kutoka Tabora kwenda Iringa ..
Aina ya gari Range Sport ya kuazima