Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kauziwa "kicheche"

Tuzingatie kanuni ya sekunde tatu tunapoongozana barabarani, keep your distance, elfu moja na moja elfu moja na mbili.

Kwa madereva waliopitia shule ya udereva watakuwa wamenielewa.

Aidha, kwa madereva ambao hawajabahatika kupitia darasani, hakikisha tu gari iliyo mbele yako umbali baina ya gari hiyo na gari yako ni wa kutosha kiasi kwamba hata akisimama ghafla basi na wewe uweze kusimama bila kusababisha hatari ama ajali.
 
Aaiseeeh, polee.

Mungu aniepushie mbali yasinikute.

Ila kuwa mwanamke raha, nakumbuka ilikuwa mida ya saa 11 jioni nakaribia mataa ya tegeta wazo way tairi ika pancha, nakumbuka alitokea kaka hata simfahamu akaniombea chance nikatoka upande wa kulia na kupaki karibu nanile sheli. Akaniambia spea tairi iko vizuri nikamwambia ndio, lete spana jeki...

Keshaleta mawe kaweka kwenye tairi huyo ndani ya dakika 5 tayari. Nikawa naogopa ntamlipa shilingi ngapi maana hatukuoatana bei, alipomaliza nikamwambia unandai shilingi ngapi akakataa akavuka barabara huyoo akaondoka.

Sikuamini kuwa amenisaidia hivi hivi tuu, nikaendelea njia nzima natabasamu hadi nyumbani.

Sijui kama wanaume wanasaidiaga wanaume wenzao bila kiwachaji.
hakuomba namba ya simu?
 
Kauziwa "kicheche"

Tuzingatie kanuni ya sekunde tatu tunapoongozana barabarani, keep your distance, elfu moja na moja elfu moja na mbili.

Kwa madereva waliopitia shule ya udereva watakuwa wamenielewa.

Aidha, kwa madereva ambao hawajabahatika kupitia darasani, hakikisha tu gari iliyo mbele yako umbali baina ya gari hiyo na gari yako ni wa kutosha kiasi kwamba hata akisimama ghafla basi na wewe uweze kusimama bila kusababisha hatari ama ajali.View attachment 1780143
Ile michezo ya mtu katoa na wewe unatoa bila kujihakikishia ndio inakuwaga na majibu haya.
 
Kauziwa "kicheche"

Tuzingatie kanuni ya sekunde tatu tunapoongozana barabarani, keep your distance, elfu moja na moja elfu moja na mbili.

Kwa madereva waliopitia shule ya udereva watakuwa wamenielewa.

Aidha, kwa madereva ambao hawajabahatika kupitia darasani, hakikisha tu gari iliyo mbele yako umbali baina ya gari hiyo na gari yako ni wa kutosha kiasi kwamba hata akisimama ghafla basi na wewe uweze kusimama bila kusababisha hatari ama ajali.View attachment 1780143
Ha ha ha hivi ushaona madereva wetu? Mmoja akitoka wote wanafuata kama nyumbu? Huwa najiuliza hawa wana akili kweli?
 
Ile michezo ya mtu katoa na wewe unatoa bila kujihakikishia ndio inakuwaga na majibu haya.
Siyo michezo mizuri kabisa. Almanusura uso kwa uso na lori maeneo ya Kongowe.

Kuna jamaa alikuwa na X3 sasa alikuwa mbele. Jamaa alikata lori moja nikawa nipo nyuma yake. Sasa ile kumaliza tu, kama mita 50 hivi au pungufu, lori hilo hapo. Bahati nzuri nikawa nami nimelimaliza lori.

Nilienda na hiyo X3 kwa umbali mfupi tu, ikabidi nimpite maana mvua zilikuwa zikinyesha na jamaa aliyumba kama mita 70 hivi. Pamoja na mimi kufanya kosa la kumfuata huyo jamaa, ila jamaa hakua dereva mzuri. Hivyo ilinilazimu nimpite tu pamoja na kutaka ligi.

Barabarani kuna vituko na mambo yanayohitaji umakini sana.
 
Kauziwa "kicheche"

Tuzingatie kanuni ya sekunde tatu tunapoongozana barabarani, keep your distance, elfu moja na moja elfu moja na mbili.

Kwa madereva waliopitia shule ya udereva watakuwa wamenielewa.

Aidha, kwa madereva ambao hawajabahatika kupitia darasani, hakikisha tu gari iliyo mbele yako umbali baina ya gari hiyo na gari yako ni wa kutosha kiasi kwamba hata akisimama ghafla basi na wewe uweze kusimama bila kusababisha hatari ama ajali.View attachment 1780143

Duuh..... hadi roho imeniuma maana ....!

Asante kwa somo.
 
Ha ha ha hivi ushaona madereva wetu? Mmoja akitoka wote wanafuata kama nyumbu? Huwa najiuliza hawa wana akili kweli?

Aahahahahahhaaa.....

Najitahidi sana mara nyingi nnapotoka na chombo cha usafiri niwe ndani ya muda au nina muda wa ziada wa barabarani kuepuka kuendesha kwa kukiuka miiko ya udereva.

Hivi ushawahi kuwa kwenye hali ya kuwa nyuma ya muda nusu saa au saa nzima na kuna msongamano wa magari barabarani?

Japo baadhi ya madereva hawasikii raha hadi waendeshe kwa kukiuka miiko, siku likitokea la kutokea wanasema ajali kazini.....!

Stress za wese kukata pia zinachangia 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom