Hii ni njema, yawafanya wajione nao ni wenye kujaliwa na wenye maisha nje ya kuwa 'pump attendants'Yeah hata mia 5 kwao ni nauli tosha.
Ila mie sitatoa, si unajua hela ya mwanamke ilivyo chungu kutoka
Ila huwa nawapigisha story ile ya kumtoa mawazo kama yuko kazini, asiwaze amesimama siku nzima labda kapata short au mwenzie anayetakiwa kumpokea shift kachelewa n.k.
Moja ya story naanzaga nazo ni, naweza kuwekewa mafuta ya buku huku nikionesha taswira ya wasiwasi na kushangaa...!
Wengi hucheka kisha nataja idadi ya lita nnazotaka basi maisha yanaenda.
Mmoja wakati anajaza nikamwambia, shoga hivi kama nimesahau pesa kwenye pochi nyumbani nilitoka haraka nanishaniwekea mafuta inakuwaje....
Basi akimaliza kunijibu hapo namwambia asante kwa huduma namtakia shift njema, akirudi nyumbani awakumbatie watu wake wa karibu kwa upendo. Namuacha na tabasamu halafu mie yuleee naendelea na safari yangu .
Hata Zenji wenyewe, beach za Jambiani, Nungwi, Paje, Michamvi n.k ni mbali na mji wala si town lakini Hotels zipo na kunahappen. Kama Zenji haswa Nungwi wana monthly events za full moon party na nyingine zifananazo na hizo na watu wanafunga safari kutoka kote duniani kwenda kuhave fun, lwa nini isiwe upande huu wa nchi pia. Yaweza kuwa sera za uwekezaji ni kikwazo, lakini utalii wa fukwe ni kitu ambacho kingetubeba sana. Mauritius, Sychelles na Re-Union nafikiri wanabebwa zaidi na fukwe kiuchumi kuliko vinginevyo, yatupasa kufanya jamboIt is also one of those less visited beaches kama huko Kilwa tu. Lakini ni kati ya fukwe nzuri sana mbele bahari halafu nyuma kijani kibichi kimetawala.
Ila nafikiri ndiyo kama hivyo alivyosema mkuu hapo juu kuwa kama taifa kwenye eneo hilo hatujafanikiwa sana. Nadhani hatujajitangaza ile vya kutosha.
Au pengine labda watu wanapenda zile beaches ambazo ziko mjini zilizochangamka kama Dar au Tanga. Mbele bahari halafu nyuma mji mkubwa na makazi ya watu.
Lakini sehemu kama Bagamoyo, Mtwara, Pangani na Lindi kuna fukwe nzuri sana. Hiyo Msimbati unaweza hata kugoogle uone mandhari yake.
Hii ni njema, yawafanya wajione nao ni wenye kujaliwa na wenye maisha nje ya kuwa 'pump attendants'
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Yeah kule visiwani wako serious sana na fukwe zao sijui tu kwanini huku bara fukwe za mijini tu ndiyo zimeendelea zaidi. Uzuri wengine hatuchaguagi fukwe ili mradi kuna bahari au ziwa na hotel au lodge karibu basi fresh tu.Hata Zenji wenyewe, beach za Jambiani, Nungwi, Paje, Michamvi n.k ni mbali na mji wala si town lakini Hotels zipo na kunahappen. Kama Zenji haswa Nungwi wana monthly events za full moon party na nyingine zifananazo na hizo na watu wanafunga safari kutoka kote duniani kwenda kuhave fun, lwa nini isiwe upande huu wa nchi pia. Yaweza kuwa sera za uwekezaji ni kikwazo, lakini utalii wa fukwe ni kitu ambacho kingetubeba sana. Mauritius, Sychelles na Re-Union nafikiri wanabebwa zaidi na fukwe kiuchumi kuliko vinginevyo, yatupasa kufanya jambo
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Wazee wa safari, wapi hapa?
Kuna mtu anakufanyia kitu barabarani unatamani umpige pini asimame ushuke um face.Barabarani kuna ujinga mwingi sana. Halafu aliesababisha yote hayo kaendelea na safari wala hajali nini kimewatokea.
Duh!Kwa IST si Lita 80 tu?!
Atakuwa anatembelea indicator ya kulia mwanzo mpaka mwisho wa safari. Yani hakuna kampani hapoE350 utakuwa unatuonea tu hamna ligi hapo.
Na askari uwaachie 50 ya kubrashia viatu kaama mwamba pale juuTip zao ile hela wanayopiga! Nitaanza kutoa tip
Zinakaa sehemu zipi?Kuna watu walisema hakuna crown inayofikisha hata airbag 6, nikamuambia zipo hadi zenye airbag 8 na kuna hii ingine naenda iangalia ina airbag 16.
C.c JituMirabaMinne Bavaria
View attachment 1719092
Mkuu najua unajua zinapokaa. Ila unataka kunivuruga tu hapa 😀😀😀Zinakaa sehemu zipi?
Inahitaji uvumilivu sana barabarani.Kuna mtu anakufanyia kitu barabarani unatamani umpige pini asimame ushuke um face.
Huwa natulia kwa muda mpaka adrenalie iishe then nasepa zangu. Road rage sio ishu kivile mradi nimevuka salama, not worth it.
Najisemeaga siku nikimchomekea mtu au kumfanyia kimbwanga I hope karma itamfanya naye anikaushie.
Nikifanikiwa kupita hapo, nitaulizia nitapo kwenda kuitazama hiyo gari then nitawapa mrejesho.Hapana najua
Mlangoni *4
Steering *1
Dashboard psng side *1
Pillars*4
Hizi ndio possible positions sasa 16 zinakaa sehemu gani?
Usiwasikilize madalali kama ndio fact za kitu. Mimi nimetafuta kidogo nimepata ina 7 airbags.Kuna watu walisema hakuna crown inayofikisha hata airbag 6, nikamuambia zipo hadi zenye airbag 8 na kuna hii ingine naenda iangalia ina airbag 16.
C.c JituMirabaMinne Bavaria
View attachment 1719092