Kibereko
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 381
- 888
Kilombero to Ifakara ni Vumbi tukwa mizunguko yote nilio sema mpaka nafika moshi??? yaaani DAR-IFAKARA-IFAKARA TO MOSHI
Ila morogoro to Kilombero ni full lami
Kilombero to Ifakara ni Vumbi tukwa mizunguko yote nilio sema mpaka nafika moshi??? yaaani DAR-IFAKARA-IFAKARA TO MOSHI
Yea, mimi nimeshawai fika kilwa masokoHivi kuna yeyote amewahi visit Kilwa humu? I hear ni one of good destinations less visited, with historical sites na fukwe saafiii, plenty of sea foods kwa wapendao. Anybody to share experience?
Sio gari inanuka uvundo.
Huwa sitoi tips petrol station. Labda kuwe na specific issue.
Easter long weekend Kasie tunaenda wapi?!! Siku tano zote kweli tusipige trip?!
Sijawahi kufika nasikia kuzuri kitalii.
Tip zao ile hela wanayopiga! Nitaanza kutoa tip
Daraja bado....Twende mlimaniHapo ndo huwa nakupenda Taibali.
Tupige trip ambayo sio ya kuchosha (isiwe ndefu sana) ili tufurahie mazingira pia. Tukirudi tuna kandana (massage) kuondoa uchovu wa mikono, mabega na shingo.
Kama daraja/barabara ya Saadani Pangani imekamilika, tupange kwenda Tanga ila tunapita Saadani Parks kisha tunatokea geti la kuelekea Pangani hapo tunaenda Tanga tunaambaa na upepo wa bahari kisha tunarudi via wami msata kisha kiotani 😜.
Just the two of us 😉.
View attachment 1718216
Snacks ntakuwa nazo za aina zote 😋😋.
Daraja bado....Twende mlimani
Au Kilwa Masoko
Lushoto
Ni kweli mkuu, bei za mafuta ukanda wa kaskazini huwa zinakuwa juu kidogo kulinganisha ni Dar, wenyewe wanasingizia usafiriNilikuwa Tanga wakati Dar 1,876 Tanga ilikuwa 1,919 sasa hivi sishangai kuwa hio 2,100+. Mafuta ya Arusha,Moshi yanapitia Tanga port.
Kuna E class zenye hadi 600 hp.Asante mkuu. Kwa wazo na njia. E 350
Ha ha ha kwasababu wakati wa kurudi utakuwa ukutani!Wuuuhuuuuuuu, yaani umenikunaaa 😅😅
Aahhahhahajaja I live you more 😜.
Sichokagi kwenda Lushoto aiseeh.
Ila tuu, kuanzia Mombo kupandisha mlimani unaendesha mie ntashika usukani saa ya kurudi 😜.
600 HP barabarani si hakuna atae kufatia mkuu.. na hawa vijana wenye BMW X1, X3 watakuwa wanaisoma namba na E zilicho chini yake.. pia nimeziona E 63s AMG .. huu ni moto haswa ndio una iyo 600 HP.. ila shekeli ndio mtihani. Kame hela mboba unachukua hata E 450 au yale V12 BiturboKuna E class zenye hadi 600 hp.
Mfuko wako tu.
Fikia Pakaya Hotel, pako safi; beach safi, msosi mzuri, watu siyo wengi, unakula upepo na ku-rejuvenate haswa n.k.Au Kilwa Masoko
Ha ha ha kwasababu wakati wa kurudi utakuwa ukutani!