Willard Jonnes
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 361
- 750
Wakuu kuna project ambayo ninaenda kuifanya na itaniweke remotely yani maeneo ya vijiji mbalimbali ndani ya nchi sasa nina option mbili za mtandao wa simu Halotel na Airtel, sasa nichague upi interm of coverage ya kawaida tu sio inshu za internet nataka coverage ya kupiga na kupokea simu na Sms.
Nataka ku officialize namba moja kati ya hizo mbili airtel na halotel je mtandao upi ni stable na coverage yake ni kubwa hapa nchini?
Nataka ku officialize namba moja kati ya hizo mbili airtel na halotel je mtandao upi ni stable na coverage yake ni kubwa hapa nchini?