Leo nimesoma kupitia mtandao wa kijamii kuwa Rais ameongeza mshahara kwa watumishi wote wa umma kwa kuongeza 23% kwa kima cha chini.
Ninauliza, Je na sisi Wazee wa pensheni tuko kwenye mfumo huo? Ichukuliwe kuwa maisha yamepanda kwa kila mtu na wengine ile pensheni ya mkupuo tulikwishaimaliza kwa sababu wengi tuna miaka 12 tangu kustaafu.
Kwa sasa tunategemea tu pensheni ya kila mwezi ambayo ni kidogo sana. Mhe. Rais wa awamu ya nne aliwahi kutuongeza kidogo. Mhe. Rais kama na sisi hatukuongezwa basi tunakuomba utufikirie.
Ninauliza, Je na sisi Wazee wa pensheni tuko kwenye mfumo huo? Ichukuliwe kuwa maisha yamepanda kwa kila mtu na wengine ile pensheni ya mkupuo tulikwishaimaliza kwa sababu wengi tuna miaka 12 tangu kustaafu.
Kwa sasa tunategemea tu pensheni ya kila mwezi ambayo ni kidogo sana. Mhe. Rais wa awamu ya nne aliwahi kutuongeza kidogo. Mhe. Rais kama na sisi hatukuongezwa basi tunakuomba utufikirie.