Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina wazo mkuu kama mtanisamehe natoka nje ya mada
Kuna group telegram la A50. Hili hapa: Samsung Galaxy A50 OFFICIAL™Nina wazo mkuu kama mtanisamehe natoka nje ya mada
Kwann tusieke jukwaa la kupeana tips and tricks za samsung A50 ikependelea zaidi iwe telegram kusije kuonekana Kuna ubaguzi humu. Nawasilisha
Mm ni mmoja wa mtumiaji wa hiyo simu
Kuzipata dukan sshv ni shida kdg. Ila zinauzwa around 500k mpk 600k kwa sasa.Hiyo A 50 ndo shi ngapi mpaka imechange topic ? Naomba kufahamishwa
Ni simu nzuri. Kwa sasa imetoka mpya yake, A51. Inauzwa 700k mpk 750kNdiyo maana duh...bei imechangamka kidogo duh nusu milion
Duh aisee wakati mlimani city mpaka leo A 10 bado hazijaisha...hipsters kazi wanayoNi simu nzuri. Kwa sasa imetoka mpya yake, A51. Inauzwa 700k mpk 750k
Mcity pale wanachelewaga sana kuleta model mpya za A series. Kwa sasa A10 imeshakua replaced na A01 na A11. Kkoo na makumbusho zipo kibaoDuh aisee wakati mlimani city mpaka leo A 10 bado hazijaisha...hipsters kazi wanayo
Bora nijichange nichukue mi 12Ni simu nzuri. Kwa sasa imetoka mpya yake, A51. Inauzwa 700k mpk 750k
Netflix hawana The boys. Hii sio netflix. Labda iwe kitu kingine. The boys ni series ya Amazon Cinemax