Sasa kibao kitamgeukia vibaya msajili wa vyama vya siasa john tendwa.
Wazee wamesema kwa kumtaka sasa na aje meru awataje hao wazee wote (washili) waliopanga kumuua mbunge lema na viongozi wa chadema.
wazee hao wamekasirishwa na ufyatu wa msajili huyu na kusema kauli yake itamgharimu pabaya na kumpa onyo asilete masihara meru yasije kumtokea puani.
Wazee wamesema kwa kumtaka sasa na aje meru awataje hao wazee wote (washili) waliopanga kumuua mbunge lema na viongozi wa chadema.
wazee hao wamekasirishwa na ufyatu wa msajili huyu na kusema kauli yake itamgharimu pabaya na kumpa onyo asilete masihara meru yasije kumtokea puani.