Wazee wa masumbwi: Bondia gani aliyekuvutia enzi zake?

Mgirik

JF-Expert Member
Apr 27, 2013
13,204
13,179
Kwa wale wapenzi Wa masumbwi je ni bondia gani aliyekuvutia enzi zake au anayekuvutia kwasasa?

Kwa upande wangu mm mwanamasumbwi niliyetokea kumpenda alikuwa Mike Tyson, huyu jamaa alikuwa moto Wa kuotea mbali hasa,
Japo inasemekana anataka kurudi tena na umri Wa miaka 54 ambayo ametimiza majuzi naamini anaweza kuwatwanga baadhi ya mabondia kama Andy luiz

Huyu jamaa alipigana mapambano 58, ameshinda mapambano 50 kati ya hayo 44 kwa KO na amepoteza sita tu huku 2 hayakuwa na ubingwa.

Kuna mapambano mawili ambayo yalinisisimua sana moja ni pambano kati ya Tyson na lary Holmes ambalo Tyson aliibuka mshindi kwa KO ambapo Tyson aliingia Kwa kulipiza kisasi ikiwa ni ahadi aliyomuahidi Mohammad Ali baada ya Ali kupgwa na Holmes vibaya mno Tyson aliumia na kusikitika sana kipindi hicho akiwa bado hajaanza kupgana

Akiwa chini ya mwalimu wake Mzee cus da mato alimtumia ujumbe Ali kwamba ntakuja kumpiga Holmes kwaajili yako na akaja kutimiza ahadi yake mbele ya Ali akiwa tayari amestaafu masumbwi.

La pili ni lile alivyotoka gerezani dhidi ya McNeely, mwanzo McNeely aliongea shit sana kwa mike lakn siku ya pambano laundi ya kwanza McNeely akawa hoi hawezi tena kuendelea.

Huyu jamaa alikuwa hatari sana hakuwa na masihara kabisa ulingoni
 
Larry Holmes Mzee wa kwanza
Bruno, Trevor Berbeck, Michael spnks, Gorotta, wote hao walikuwa wazee? Na ukiangalia wengi Wa waliompiga Tyson walianza kujitokeza Mara baada ya yeye kuchoka.
Hata pambano lake la kwanza kupigwa na Bustler Deoglas alipgwa wakati akiwa ametoka kwenye majeraha ya kuumizwa mkono na majambazi lakn pamoja na kupgwa deoglas aliramba ardhi Mara kadhaa
 
Bruno, Trevor Berbeck, Michael spnks, Gorotta, wote hao walikuwa wazee? Na ukiangalia wengi Wa waliompiga Tyson walianza kujitokeza Mara baada ya yeye kuchoka.
Hata pambano lake la kwanza kupigwa na Bustler Deoglas alipgwa wakati akiwa ametoka kwenye majeraha ya kuumizwa mkono na majambazi lakn pamoja na kupgwa deoglas aliramba ardhi Mara kadhaa
Jiulize ni kwanini aliwakimbia kina Riddick Bowe, David Tua, Lennox Lewis na alipokubali kwa shingo upande kuzichapa na Evender Holyfield ndio ukawa mwisho wake !
 
Mimi mkuu napenda sana mabondia wa uzito wa kati jamaa wanaburudani sio poa na wepesi mno yani hawachoshi kuwatazama naanza na Saul 'canelo"alvalez,uyu ndo mwamba kwa sasa wa dunia katika middle weight na vile vile kwa ubora wa division zote,halafu anafatia mfalme wa knockout duniani amepigana mapambano 39 ko ni 35 Gennady Gennadiyovich Golovkin [GGG]uyu ndo role modo wangu jamaa ni sugu balaa ukitaka umuelew cheki pambano lake na canelo la kwanza na la pili na pambano na jamaa wa kuitwa marco antonio rubio ndo utamuelewa triple G,Terence crawford,amir khan,mwakinyo,nasibu ramadhan,haidar mchanjo na dogo wa tanga anaitwa salim mtango,miguel cotto,pacman dah kwa kweli wapo wengi mkuu.ila division ya middle weight naipenda sana ata welterweight sio mbaya.
 
Kwa wale wapenzi Wa masumbwi je ni bondia gani aliyekuvutia enzi zake au anayekuvutia kwasasa?

Kwa upande wangu mm mwanamasumbwi niliyetokea kumpenda alikuwa Mike Tyson, huyu jamaa alikuwa moto Wa kuotea mbali hasa,
Japo inasemekana anataka kurudi tena na umri Wa miaka 54 ambayo ametimiza majuzi naamini anaweza kuwatwanga baadhi ya mabondia kama Andy luiz

Huyu jamaa alipigana mapambano 58, ameshinda mapambano 50 kati ya hayo 44 kwa KO na amepoteza sita tu huku 2 hayakuwa na ubingwa.

Kuna mapambano mawili ambayo yalinisisimua sana moja ni pambano kati ya Tyson na lary Holmes ambalo Tyson aliibuka mshindi kwa KO ambapo Tyson aliingia Kwa kulipiza kisasi ikiwa ni ahadi aliyomuahidi Mohammad Ali baada ya Ali kupgwa na Holmes vibaya mno Tyson aliumia na kusikitika sana kipindi hicho akiwa bado hajaanza kupgana

Akiwa chini ya mwalimu wake Mzee cus da mato alimtumia ujumbe Ali kwamba ntakuja kumpiga Holmes kwaajili yako na akaja kutimiza ahadi yake mbele ya Ali akiwa tayari amestaafu masumbwi.

La pili ni lile alivyotoka gerezani dhidi ya McNeely, mwanzo McNeely aliongea shit sana kwa mike lakn siku ya pambano laundi ya kwanza McNeely akawa hoi hawezi tena kuendelea.

Huyu jamaa alikuwa hatari sana hakuwa na masihara kabisa ulingoni
Mkuu kwanza Uzi wako umekosea Jukwaa, hapa sipo mahali pake, hii inaonyesha jinsi gani umekurupuka kuleta huu Uzi. Lakini pili Nina wasiwasi kuwa mchezo wa Masumbwi hujaujua vizuri.

Tatu Umenikera Sana kumtolea mfano Andy Ruiz, Huyu Mmexico ndiyo unamuona kibonde !!! HUJUI kuwa huyu Ni rollmodel wa Canelo pamoja Mexico Boxing Federation Andy Ruiz ni Mdau mkubwa mwenye heshima zake.
images (35).jpeg

Iweje umchukulie Andy Ruiz kibonde ikiwa Ni Bondia anayesifika kwa uvumilivu na kutokata pumzi, Tyson anakata pumzi mapema Hamuwezi Andy Ruiz,
Povu Tayari.
 
Kwa wale wapenzi Wa masumbwi je ni bondia gani aliyekuvutia enzi zake au anayekuvutia kwasasa?

Kwa upande wangu mm mwanamasumbwi niliyetokea kumpenda alikuwa Mike Tyson, huyu jamaa alikuwa moto Wa kuotea mbali hasa,
Japo inasemekana anataka kurudi tena na umri Wa miaka 54 ambayo ametimiza majuzi naamini anaweza kuwatwanga baadhi ya mabondia kama Andy luiz

Huyu jamaa alipigana mapambano 58, ameshinda mapambano 50 kati ya hayo 44 kwa KO na amepoteza sita tu huku 2 hayakuwa na ubingwa.

Kuna mapambano mawili ambayo yalinisisimua sana moja ni pambano kati ya Tyson na lary Holmes ambalo Tyson aliibuka mshindi kwa KO ambapo Tyson aliingia Kwa kulipiza kisasi ikiwa ni ahadi aliyomuahidi Mohammad Ali baada ya Ali kupgwa na Holmes vibaya mno Tyson aliumia na kusikitika sana kipindi hicho akiwa bado hajaanza kupgana

Akiwa chini ya mwalimu wake Mzee cus da mato alimtumia ujumbe Ali kwamba ntakuja kumpiga Holmes kwaajili yako na akaja kutimiza ahadi yake mbele ya Ali akiwa tayari amestaafu masumbwi.

La pili ni lile alivyotoka gerezani dhidi ya McNeely, mwanzo McNeely aliongea shit sana kwa mike lakn siku ya pambano laundi ya kwanza McNeely akawa hoi hawezi tena kuendelea.

Huyu jamaa alikuwa hatari sana hakuwa na masihara kabisa ulingoni
Hakuna bondia bora kama Joe Frazier kupata tokea,basi walikua wanapewa kina Mohamed Alli lakini Frazier alikua the best

R.I.P Joe
 
Mike Iron Tyson ni moto.kutajwa tajwa Tyson maranyingi kwenye huu uzi pekeyake tu inaashiria Tyson ni moto.
 
We jamaa unazungumzia tu pambano la tyson na lary holmes..kwa nini usizungumzie pambano la tyson na douglas james mtu mbaya lililopigwa mjini tokyo nchini japan

Ila evander sio ntu mzuri
 
Mkuu kwanza Uzi wako umekosea Jukwaa, hapa sipo mahali pake, hii inaonyesha jinsi gani umekurupuka kuleta huu Uzi. Lakini pili Nina wasiwasi kuwa mchezo wa Masumbwi hujaujua vizuri.

Tatu Umenikera Sana kumtolea mfano Andy Ruiz, Huyu Mmexico ndiyo unamuona kibonde !!! HUJUI kuwa huyu Ni rollmodel wa Canelo pamoja Mexico Boxing Federation Andy Ruiz ni Mdau mkubwa mwenye heshima zake.
View attachment 1497150
Iweje umchukulie Andy Ruiz kibonde ikiwa Ni Bondia anayesifika kwa uvumilivu na kutokata pumzi, Tyson anakata pumzi mapema Hamuwezi Andy Ruiz,
Povu Tayari.
Hahahaa! Naona umejaa upepo ng'wangwa
 
Back
Top Bottom