Wazee wa Likes nawaomba humu, Likes zinahitajika nishinde shindano la ujasiriamali

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,820
33,453
habari wadau wa chit chat..

naukumbuka uzi wetu wa kupeana likes.. sasa naombeni msaada wenu..

kuna shindano nimeshiriki la ujasiriamali linaitwa total start upper of the year.. katika harakati za kusaka ugali..

sasa limefikia stage ya likes zinaongeza marks.. nikawakumbuka ndugu zangu wa kupeana likes,,, naombeni msaada wenu


MAELEZO KAMILI HAYA HAPA CHINI

NAOMBA SAPOTI YA LIKES KWENYE BUSINESS PLAN COMPETITION

Nimeshiriki shindano la idea za ujasiriamali lililotangazwa na kampuni ya Total Duniani kwa idea ya STREET SKILLS DEVELOPMENT.

Katika masharti ya hilo shindano asiliamia 10 ya marks zitatokana na likes utazopata kwenye profile yako ya shindano. asilimia 90 wataamua majaji

Katika kutimiza hilo Tunaomba sapoti yenu kwa kila mmoja kupitia profile yetu na kuclick like. step za kuvote na kuweka like yako ni hizi zifuatazo.

1. click hiyo link chini ya haya maelekezo imeanza na neno start upper click hiyo link

Startupper of the Year - STARTUPPER OF THE YEAR BY TOTAL - [TANZANIA]

2. Baada ya kuclick hiyo link itakupeleka kwenye profile ya idea yetu Total. upande wa kushoto kuna neno LIKE (kwa wanaotumia pc) na kwa wanaotumia simu chini wataona LIKE. click hilo neno like baada ya kufata maelekezo. make sure umeona like yako imekamilika kwa kufata maelekezo yao.

3. Hapo unakuwa umemaliza kazi... Asante sana

Asanteni sana

mkumbuke likes zinazohesabiwa ni za kwenye link hiyo.. msilike hapa jf..

nawaomba wote muende kwenye link muweke like



wazee wa likes naombeni sana sapot yenu
 
habari wadau wa chit chat..

naukumbuka uzi wetu wa kupeana likes.. sasa naombeni msaada wenu..

kuna shindano nimeshiriki la ujasiriamali linaitwa total start upper of the year.. katika harakati za kusaka ugali..

sasa limefikia stage ya likes zinaongeza marks.. nikawakumbuka ndugu zangu wa kupeana likes,,, naombeni msaada wenu


MAELEZO KAMILI HAYA HAPA CHINI

NAOMBA SAPOTI YA LIKES KWENYE BUSINESS PLAN COMPETITION

Nimeshiriki shindano la idea za ujasiriamali lililotangazwa na kampuni ya Total Duniani kwa idea ya STREET SKILLS DEVELOPMENT.

Katika masharti ya hilo shindano asiliamia 10 ya marks zitatokana na likes utazopata kwenye profile yako ya shindano. asilimia 90 wataamua majaji

Katika kutimiza hilo Tunaomba sapoti yenu kwa kila mmoja kupitia profile yetu na kuclick like. step za kuvote na kuweka like yako ni hizi zifuatazo.

1. click hiyo link chini ya haya maelekezo imeanza na neno start upper click hiyo link

Startupper of the Year - STARTUPPER OF THE YEAR BY TOTAL - [TANZANIA]

2. Baada ya kuclick hiyo link itakupeleka kwenye profile ya idea yetu Total. upande wa kushoto kuna neno LIKE (kwa wanaotumia pc) na kwa wanaotumia simu chini wataona LIKE. click hilo neno like baada ya kufata maelekezo. make sure umeona like yako imekamilika kwa kufata maelekezo yao.

3. Hapo unakuwa umemaliza kazi... Asante sana

Asanteni sana

mkumbuke likes zinazohesabiwa ni za kwenye link hiyo.. msilike hapa jf..

nawaita wengine mje huku

Compact
Ficus
juan moses
@Samaritan
brenda18
womanhood
Cienfuegos
winner100
jonta
witnessj
aggyd
JembePoli
Atkins Mendel
Ficus
sohwa
mikwamba
Kyalow
Riwa
Namge
@Algator
Comrade Kip
MadamG
Ayanda85
Claret
babu na mjukuu
Snowwhite
Bonny
@rubuye1231
@prondo
dyuteromaikota
hazelyn
Donjama
Gogle
multiple
Afrah
Olivia Pope
carbamazepine
binti kiziwi
edgar Sr
ICHANA
hill and portion
red apple
KAHUSE
Qurie
espy
mahondaw
whitehorse
Code Breaker
Mbimbinho
ISO M.CodD
jay-millions
lazalaza
tya02
Alegria do povo
athuman zungu
@malaluko jr
Waseme
Prince Nadheem
Gwamahala
Mzigua90
Cauldron
angelita
topr
dawa yenu
strong gal
Shunie
@dst111
tejateja
subadesubking
jossiest
Rich Ze Best
255Gene
CHOKAMBOVU
Sonia G
Jack HD
kisengeli
TEAM hoarse
idaz
Heaven Sent
jonnie_vincy
singular
Michaelray22
kabanga
Mr Mikazo
Tarime one
sherberry
@Ipiyax
double R
Kadada
Cecilia Kessy
cesilia
subadesubking
it is me
moneytalk
Money Penny
@salma99
nchemime
Compact
Fake P
Word
griffin2
sammyluv
ABBYA
KIUNO CHANGU
-KANA-
CHOKAMBOVU
Queen Horse
m.agape
Maskini Jeuri
Miss ferrar
Horseshoe Arch
kassimneema
mjasiria
Omerta
kukumega
sajo
glory to yhwh
LOFA2030
ranyia
felinda
@montkafu
tozi25
Guasa Amboni
lafionaposh
lady v
dochivele
Masaki
amu

na member wengine wote humu.. niliowasahau kuwa mention... naomben sapot yenu
Kwa hii Kazi yako tafuta mtu mwenye ushawishi mkubwa humu JF mpe hii Kazi ya kukunadi na kukuombea watu wakakupe likes zao kule. Itakuwa Kazi rahisi. Mfano Bold ana kijiji kikubwa sana. Akikisisitiza kikapige kura unatusua mapema sana.
Ngoja nikakupe like yako now mkuu
 
Mkuu ingekuwa process ni rahisi kukupa like ingependeza, ila mpaka ufanye registration

una log in kwa email, facebook, linkedin au twitter acc yako.. wanamonitor mtu mmoja asirudie rudie kutoa like.. ukawa ushindi wa zengwe.. wanataka mtu mmoja apige kura 1
 
Nimefika hatua hii sijui nini cha kufanya Next.



Screenshot_2018-12-03 Startupper of the Year - List of challenges.png
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom