habari wadau wa chit chat..
naukumbuka uzi wetu wa kupeana likes.. sasa naombeni msaada wenu..
kuna shindano nimeshiriki la ujasiriamali linaitwa total start upper of the year.. katika harakati za kusaka ugali..
sasa limefikia stage ya likes zinaongeza marks.. nikawakumbuka ndugu zangu wa kupeana likes,,, naombeni msaada wenu
MAELEZO KAMILI HAYA HAPA CHINI
NAOMBA SAPOTI YA LIKES KWENYE BUSINESS PLAN COMPETITION
Nimeshiriki shindano la idea za ujasiriamali lililotangazwa na kampuni ya Total Duniani kwa idea ya STREET SKILLS DEVELOPMENT.
Katika masharti ya hilo shindano asiliamia 10 ya marks zitatokana na likes utazopata kwenye profile yako ya shindano. asilimia 90 wataamua majaji
Katika kutimiza hilo Tunaomba sapoti yenu kwa kila mmoja kupitia profile yetu na kuclick like. step za kuvote na kuweka like yako ni hizi zifuatazo.
1. click hiyo link chini ya haya maelekezo imeanza na neno start upper click hiyo link
Startupper of the Year - STARTUPPER OF THE YEAR BY TOTAL - [TANZANIA]
2. Baada ya kuclick hiyo link itakupeleka kwenye profile ya idea yetu Total. upande wa kushoto kuna neno LIKE (kwa wanaotumia pc) na kwa wanaotumia simu chini wataona LIKE. click hilo neno like baada ya kufata maelekezo. make sure umeona like yako imekamilika kwa kufata maelekezo yao.
3. Hapo unakuwa umemaliza kazi... Asante sana
Asanteni sana
mkumbuke likes zinazohesabiwa ni za kwenye link hiyo.. msilike hapa jf..
nawaomba wote muende kwenye link muweke like
wazee wa likes naombeni sana sapot yenu
naukumbuka uzi wetu wa kupeana likes.. sasa naombeni msaada wenu..
kuna shindano nimeshiriki la ujasiriamali linaitwa total start upper of the year.. katika harakati za kusaka ugali..
sasa limefikia stage ya likes zinaongeza marks.. nikawakumbuka ndugu zangu wa kupeana likes,,, naombeni msaada wenu
MAELEZO KAMILI HAYA HAPA CHINI
NAOMBA SAPOTI YA LIKES KWENYE BUSINESS PLAN COMPETITION
Nimeshiriki shindano la idea za ujasiriamali lililotangazwa na kampuni ya Total Duniani kwa idea ya STREET SKILLS DEVELOPMENT.
Katika masharti ya hilo shindano asiliamia 10 ya marks zitatokana na likes utazopata kwenye profile yako ya shindano. asilimia 90 wataamua majaji
Katika kutimiza hilo Tunaomba sapoti yenu kwa kila mmoja kupitia profile yetu na kuclick like. step za kuvote na kuweka like yako ni hizi zifuatazo.
1. click hiyo link chini ya haya maelekezo imeanza na neno start upper click hiyo link
Startupper of the Year - STARTUPPER OF THE YEAR BY TOTAL - [TANZANIA]
2. Baada ya kuclick hiyo link itakupeleka kwenye profile ya idea yetu Total. upande wa kushoto kuna neno LIKE (kwa wanaotumia pc) na kwa wanaotumia simu chini wataona LIKE. click hilo neno like baada ya kufata maelekezo. make sure umeona like yako imekamilika kwa kufata maelekezo yao.
3. Hapo unakuwa umemaliza kazi... Asante sana
Asanteni sana
mkumbuke likes zinazohesabiwa ni za kwenye link hiyo.. msilike hapa jf..
nawaomba wote muende kwenye link muweke like
wazee wa likes naombeni sana sapot yenu