mnengene
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 4,112
- 6,300
Kuna taarifa za kupotea gari ya maradi wa ujenzi wa barabara ya afrika mashariki inayopita kata ya kwa msisi handeni tanga.
mkandarasi wa barabara iyo alikuwa anapeleka gari kwa ajili ya kazi hiyo sasa gari moja halijafika kwa msisi handeni kutokea bandari ya dsm
Ujenzi huo unandelea baada ya suala la kulipwa fedha za tambiko sh milion 21 kufikiwa muafaka, kwa wazee hao wa tambiko kupatiwa sh milioni 1 na ushee ya tambiko.
Mchina anaulizwa huyo dereva aliyepotea alimpataje akajibu alimpatia bandarini dsm, na hamfahamu vizuri,
wazee wakakoroma kwa nini eti hajachukua dereva kutoka kijijini hapo kwani o wangeweza kumfahamu ni mtoto wa mzee nani aliyepotea.
gari iliyopotea ni kama hiyo hapo chini ilikuwa inatokea bandarini dsm kuelekea kwa msisi handeni
mziki wa hawa wazee ni huu hapa chini
Mi nahisi huyo dreva atakuwa kalipiga hilo gari
mkandarasi wa barabara iyo alikuwa anapeleka gari kwa ajili ya kazi hiyo sasa gari moja halijafika kwa msisi handeni kutokea bandari ya dsm
Ujenzi huo unandelea baada ya suala la kulipwa fedha za tambiko sh milion 21 kufikiwa muafaka, kwa wazee hao wa tambiko kupatiwa sh milioni 1 na ushee ya tambiko.
Mchina anaulizwa huyo dereva aliyepotea alimpataje akajibu alimpatia bandarini dsm, na hamfahamu vizuri,
wazee wakakoroma kwa nini eti hajachukua dereva kutoka kijijini hapo kwani o wangeweza kumfahamu ni mtoto wa mzee nani aliyepotea.
gari iliyopotea ni kama hiyo hapo chini ilikuwa inatokea bandarini dsm kuelekea kwa msisi handeni
mziki wa hawa wazee ni huu hapa chini
Mi nahisi huyo dreva atakuwa kalipiga hilo gari