Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 4,953
- 6,071
Wakuu
Juzi kati hapa narudi kutoka kibaruani nikaamua nichukue matunda kidogo,
Nilistaajabu sana bei ya tikiti moja ni Tsh 10,000/-, hivyo kutokana na ukata nikachukua ya elfu 2 tuu ila vilitoka vipande viwili tena vikubwa tuu,
Nipo kwenye daladala nikajiuliza kama tikiti moja ni Tsh 10,000/- sokoni hivyo shambani itakua si chini ya elfu 5 ,
Binafsi nina shamba lakini nalima mazao mengine kabisa si matikiti, je wazee wa fursa hii imekaaje kwenu?
Kwanini matikiti yamepanda sana bei?
Juzi kati hapa narudi kutoka kibaruani nikaamua nichukue matunda kidogo,
Nilistaajabu sana bei ya tikiti moja ni Tsh 10,000/-, hivyo kutokana na ukata nikachukua ya elfu 2 tuu ila vilitoka vipande viwili tena vikubwa tuu,
Nipo kwenye daladala nikajiuliza kama tikiti moja ni Tsh 10,000/- sokoni hivyo shambani itakua si chini ya elfu 5 ,
Binafsi nina shamba lakini nalima mazao mengine kabisa si matikiti, je wazee wa fursa hii imekaaje kwenu?
Kwanini matikiti yamepanda sana bei?