Nyunyu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2009
- 4,354
- 1,010
Hii ni nchi yenye AMANI, UTULIVU NA MSHIKAMANO na watu wa nje wanatuangalia kwa jicho la husuda.
Bwahaha aaaaaaa!!! ...jicho la husuda!!! Duh!
Nilikuwa naangalia ile hotuba ya Mlm Nyerere pale Kilimanjaro Hotel; kuna wakati alielezea jinsi tunavyochagua viongozi kutumia pesa; yaani kama alikuwa antabiri, ndo yale yale tunayoyaona sasa katika CCM!! Duh!!