Wazee wa Dar wasema Chadema waingepaswa kwenda mahakamani

Makamba anamatatizo makubwa na mwenzake Chatanda. Kiukweli maaskofu walichosema ni sahihi hata mtoto mdogo anaelewa. Isipokuwa wale wafikra mgando tu.
 
Wazee wa Dar wako sahihi.

Kuhusu haki ya wazee wa Afrika Mashariki, aliyewapora haki yao ni Mtakatifu to be Nyerere, au hilo utalipinga.

Kikwete akalimaliza la hawa wazee, wakasema hawajaridhika wameenda mahakamani, kwa hiyo tungoje sheria ichukuwe mkondo. Kati ya hao wazee wa Dar. uliowaona leo wengine walikuwamo katika jumuiya ya Afrika Mashariki.

Na wewe zomba unaongea utafikiri umefukuliwa toka kaburini! Kesi ya mgombea binafsi imeishiaje? Si tumeishia kuambiwa kauli kama ya Waziri Nahodha kwamba suala hili ni la kisiasa zaidi? Kuhusu wazee wa EAC, kama JK angekuwa na uchungu na wafanyakazi wa nchi hii wasingeambiwa waendelee kigoma hata kwa miaka 8 hawataongezewa mishahara!
 
Wahariri wa HabariLeo, Daily Noise, Uhuru, Mtanzania, Uwazi na JamboLeo wanatafuta headlines za magazeti yao kesho
 
Sidhani kama ni sahihi kusema "wazee wa kiislamu" kwa kuwa tu wamevaa balaghashia, kwani kofia hizo hupenda kuvaliwa na wazee wengi hasa wa Dar bila kujali dini. Kwa kifupi msinase kwenye mtego wa CCM kugeuza mjadala wowote ambao wao wanaonekana kushindwa kwa sasa kuwa ni "vita takatifu ya kidini" dhidi ya kikwete.

Kimsingi hao ni wazee wa kitanzania ambao wengi wao ni walalahoi lkn kwa kujua au kujokujua wamekubali kutumiwa kuhalalisha upumbavu na ujuha wa CCM. Kwani ni wapi palipoandikwa kuwa haki hudaiwa mahakamani tu? Na je, ni kweli kuwa mahakama zetu sasa ni "wakala wa Mungu mwenye haki" ambaye anatoa hukumu za haki kikamilifu bila upendeleo wa umri, rika, dini, nasaba n.k? Mara ngapi wananchi wanyonge wameporwa haki zao mahakamani huku wakiona mchana kweupe?(rejea hukumu ya mgombea binafsi,kesi za uchaguzi, kesi za kubambikiwa, kesi za vigogo n.k).

Hata kama katiba imeipa mamlaka mahakama kutafsiri sheria na kutoa haki, katiba hiyohiyo imetoa uhuru wa kudai haki kwa migomo, maandamano, mikutano ya hadhara n.k na kuulinda uhuru wa kujumuika, uhuru wa maoni na haki nyingine za msingi za raia hivyo isiwe ni lazima kwenda mahakamani wakati njia nyingine halali kisheria na zinaweza kutumika.

Hao "wazee" walipaswa kwanza kukemea matumizi makubwa ya nguvu zisizo lazima dhidi ya wananchi(ambazo pia zilitumika dhidi ya wazee wenzao wafanyakazi wa EAC) lakini kwabahati mbaya hawawezi kuona mbali zaidi ya matumbo yao!

Thenks, u real stand as great thinker for pointing issues rather than people!
 
[SIZE=&quot;3&quot;]Kufuatana na taarifa ya Ch 10 usiku hu, wazee wa Dar (ambao wamesema kuwa wanawasemea wazee wenzao nchi nzima -- yaani wameipora hiyo haki bila ya ridhaa yao) kwamba Chadema wangekwenda mahakamani badala ya kufanya maandamano na kutotii amri halali ya polisi.<br />
<br />
Wazee hao ambao wengi wao walikuwa wamevaa baraghashia na ambao baadhi yao wamekuwa wakionekana katika magwanda ya CCm katika shughuli za chama hicho wamesema mahakama ndiyo njia sahihi kuliko vurugu.<br />
<br />
<br />
<font size="4"><font face="Book Antiqua">Hawana hadhi ya kujadiliwa hapa, labda kwenye vikao vya kahawa uko ndio saizi yao. mbwa kabisa hawa, wengi wao hata hicho kilichandikwa humo kwenye hilo tamko hawajuwi ni nini, wamepewa na makamba shilling elfu kumi kila mmoja basi hiyo ndio thamani yao.</font></font>
<br />
<br />
Munanifurahisha sana! Wazee wa dar wakinywa kahawa hawana akili pumbavu, wale wanaokesha kwenye mbege wa Moshi na Arusha ndio wenye hekima! What a ridiculous logic!
 
Hivi vizee siku zote ni stooge . Wakae pembeni na ukondoo wao - muda wao umepita watuachie, ni zamu yetu vijana
 
Tatizo la wazee wa Dar-CCM hawatumii bongo zao kufikiri, wao wanatumia "ngiri maji" aka bush* kutoa matamko ya hovyo. Kwanza hayo hayawakilishi nchi nzima ni mawazo yao na aliyewatuma. Wengi ni omba omba hawajui hata bei ya umeme maana wangeisha toa tamko la kulaani wanaotaka kilipa Door Ones na ufisadi mwingine!

Nchi haiwezi kuwa na wazee bias kiasi hicho, wamechanganyikiwa kwa honi za magari barabarani wanatoa matamko yenye kuiabisha nchi, maana inaonekana kama wazee wa nchi hii hawana busara kiasi hicho. Muda wao umekwisha waache vijana walete mabadiliko wanayoyataka kwa manufaa yao na kizazi kijacho. Inawezekana walipita kwa Sheh Yahyah kupata ushauri!
 
CHADEMA has the upper hand on this blunder committed by CCM and their Police. They should not go to the court; they should keep on insisting that they will assemble again and again and again to demand the free and fair elections not only for mayoral post but for every post to be held in the future. We cannot have rulers who break the rules and law purposely and advising us the victims going to the court. Who doesn't know that the legal system in Tanzania is corrupted?, Let them suffer consequences. The more they use puppet elders and sheikhs to build pressure on people, the more the people get angry at them and the less popular they will be.

I know why Makamba et al insist the court resolution. They think that if demonstrations give the people victory they'll be next target as they know that they don't have people behind them, they have bullets and tear gases. Chadema should not let the holy blood of protesters injured and slained by the police brutality go in vain. Now is the time to let them know that, only open process in elections should calm the people not FFU's tear gases and bullets or kangaroo courts they insist CDM to go. If they believe in rule of law they should have made sure that those are applied on every aspect of their decisions.
 
Usishangae ukijua kwamba hao wazee wamelipwa hela kutoa hilo tamko.kwani baadhi ya wazee waliokuwepo siku mkwere akitutukana wafanyakazi baadhi yao nafahamianma nao na wanakiri walipewa kitu kidogo kuhudhuria mkutano ule
 
Hawa wanaojiita wazee wa dar ni makada wa ccm tena wachovu watupu wanaolipwa sh elfu kumi kila wanapokalishwa kuwekewa propaganda za ccm vinywani mwao kwa kisingizio cha wazee wa Dar. Mwenyekiti wao ni mzee Mwinyimvua ambae hajui kuandika ila kusoma kwa kiwango kidogo sana. Huwa huyu mzee kijue chake ni pale mwembechai na ukifika pale saa za jioni utamkuta akiwatishia washiriki wa ghahawa kwa kuwahofisha kuwashughulikia ikiwa watazungumza kinyume na ccm.
Ccm wanapoing'ang'aniza chadema kwenda mahakamani wanashindwa kuelewa kwamba, hatua zote mbili yaani mahakama na maandamano ni haki yao kikatiba na hivyo wao katika hili la Arusha wameamua kutumia hii haki ya maandamano ya amani ambayo ccm wameamua kuipora kwa kumtumia IGP.
.
 
[SIZE="3"Kufuatana na taarifa ya Ch 10 usiku huu, wazee wa Dar (ambao wamesema kuwa wanawasemea wazee wenzao nchi nzima -- yaani wameipora hiyo haki bila ya ridhaa yao) kwamba Chadema wangekwenda mahakamani badala ya kufanya maandamano na kutotii amri halali ya polisi.

Wazee hao ambao wengi wao walikuwa wamevaa baraghashia na ambao baadhi yao wamekuwa wakionekana katika magwanda ya CCm katika shughuli za chama hicho wamesema mahakama ndiyo njia sahihi kuliko vurugu.

My take: Hivi hawa wazee mbona hawajawahi kuja na kauli za kuwaponda wazee wa Jumuia ya Afrika ya Mashariki kwa kuporwa haki zao ambao wamekuwa wakiandamana mara kadha kwenye mitaa ya Dar na kufanya vurugu?[/SIZE]

Hivi serikali ilipoamua kuzuia maandamano ya wafanyakazi (TUCTA) si wao ndio walienda mahakamani na kupewa amri ya kusitisha jambo hilo usiku wa manane? Kwanini hawa wazee wasiseme Polisi ndio wangeenda mahakamani kupata hukumu ya mahakama kuwazuia Chadema badala ya Polisi kutoa amri tu kama n i nchi ya kiimla?
 
nASEMA HAWAFAI HATA KIDOGO. nILIMSIKIA YULE ALIEKUA ANAONGEA SAUTI YA MBUZI ANAEZAA, ALIKUA NA NJAA, HATA MAFUTA YAKUJIPAKA ALIKUA HANA, HATA KUOGA NAFIKIRI TABU KWAKE. hUYU NADHANI NDO BABA YAKE mAKAMBA. mAKAMBA ANGALAU SABAUNI KWA BABA YAKO. jITAHIDI BASI ANGALAU UNAPOPANGA KUA ATAONGEA KWENYE TV ANGALAU BASI MPE JUICE ALAINISHE ANGALAU BABUE. AIBU KUBWA. NJAANJAAAAAAAAAA
 
Na linganisheni hiyo kauli ya wazee na hili tamko lilitoka kwa wasomi:



FOR IMMEDIATE RELEASE (to be published in its entirety)


9th January, 2011

DAR ES SALAAM

The Tanganyika Law Society (“TLS”) is the National Bar Association for mainland Tanzania, which was established under The Tanganyika Law Society Act, Chapter (CAP) 307 R.E. of 2002. I. The TLS calls upon civilians and the State and its organs to observe and abide by the laws, the rule of law and good governance; and


2. The TLS strongly condemns the actions taken by the Police Force in denying the constitutional rights of association and assembly and of expression; and

3. The TLS strongly condemns the use of excessive force by the Police Force in dispersing the crowd of unarmed, peaceably processing and assembled civilians; and


4. The TLS calls on the Government of Tanzania to probe into the cause of and to investigate this unfortunate incident, to bring those accountable to task in accordance with the laws, and to continue using peaceful means of upholdingrule of law and securing democracy for the national good.


Submitted by and on behalf of the Tanganyika Law Society


PRESIDENT
naam hawa kweli wanasheria na wasomi wa nch hii, wamenifurahisha zaidi kwenye red.
nawahakikishia watu waelewa na wasomi (kasoro wale walafi na wenye kupenda vyeo) wana mtazamo chanya kwenye jamii, sio hivi vizee vinavyotumiwa hata kuongea kwa ufasaha ni shida.
 
[SIZE="3"Kufuatana na taarifa ya Ch 10 usiku huu, wazee wa Dar (ambao wamesema kuwa wanawasemea wazee wenzao nchi nzima -- yaani wameipora hiyo haki bila ya ridhaa yao) kwamba Chadema wangekwenda mahakamani badala ya kufanya maandamano na kutotii amri halali ya polisi.

Wazee hao ambao wengi wao walikuwa wamevaa baraghashia na ambao baadhi yao wamekuwa wakionekana katika magwanda ya CCm katika shughuli za chama hicho wamesema mahakama ndiyo njia sahihi kuliko vurugu.

My take: Hivi hawa wazee mbona hawajawahi kuja na kauli za kuwaponda wazee wa Jumuia ya Afrika ya Mashariki kwa kuporwa haki zao ambao wamekuwa wakiandamana mara kadha kwenye mitaa ya Dar na kufanya vurugu?[/SIZE]

Ndio maana NACHEKELEA KUUAWA MBWA WALE PALE ARUSHA. HATA HIVYO WALIOKUFA NI WACHACHE SANA. DHAMBI YA WAO KUUWA PALE MASWA ILIPASWA ILIPWE KWA MAMIA!. UKIONGOZWA NA VIONGOZI VIPOFU (WAVAA MISALABA) MATOKEO YAKE NI KUINGIA SHIMONI.

PONGEZI ZOOTE KWA JESHI LA POLISI KUUWA WASHENZI WALE WASIOHESHIMU WAZEE WETU.
 
Back
Top Bottom