Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 639
Hapana, Polisi.....hapo nadhani unapotoka kidogo.
Ukitumia sentiments za udini, unajiondolea sifa ya kuwa-criticize hao wazee kwa vile una-replicate walichokifanya wao!
By the way mimi ni Mkristo, lakini ni Mtanzania zaidi..
Asante m-mbabe. ndo faida ya kuwa na wazee humu jf. wengine bado vijana, hatuna smile