30 September 2020
WAZEE WA CHAMA CHA CHADEMA WATOA ONYO KALI KWA SERIKALI YA MAGUFULI NA JESHI
Huu wa Uchaguzi Mkuu 2020 vyama vimeamua kusimama kidete na kusema basi dhidi ya chama-dola cha CCM Mpya kinachotumia Tume ya Uchaguzi, Wasimamizi wa Uchaguzi na vyombo vingine vya dola kujaribu kuviburuza.
Wazee hawa wamuasa Magufuli kuwa bado ana muda wa kutosha kurekebisha upotovu wa serikali yake, Tume aliyoiteua na vyombo vya usalama ili kurejesha imani ya waTanzania na Jumuiya ya Kimataifa kuwa mchakato mzima wa Uchaguzi Mkuu 2020 utakuwa Huru na wa Haki.
WAZEE WA CHAMA CHA CHADEMA WATOA ONYO KALI KWA SERIKALI YA MAGUFULI NA JESHI
Huu wa Uchaguzi Mkuu 2020 vyama vimeamua kusimama kidete na kusema basi dhidi ya chama-dola cha CCM Mpya kinachotumia Tume ya Uchaguzi, Wasimamizi wa Uchaguzi na vyombo vingine vya dola kujaribu kuviburuza.
Wazee hawa wamuasa Magufuli kuwa bado ana muda wa kutosha kurekebisha upotovu wa serikali yake, Tume aliyoiteua na vyombo vya usalama ili kurejesha imani ya waTanzania na Jumuiya ya Kimataifa kuwa mchakato mzima wa Uchaguzi Mkuu 2020 utakuwa Huru na wa Haki.