Wazee wa CHADEMA walifanya vyema kumweka Zitto kando

Chapakazi

JF-Expert Member
Apr 19, 2009
2,874
310
Baada ya kutokea mshangao mkubwa kwa wanaJF na maswali mengi kubaki wazi kutokana na kitendo cha Wazee wa Chadema kumwomba Mh Zitto kutogombea Wenyekiti wa Chadema, nadhani walifanya kitendo hicho kwa busara kutokana na Katiba ya Nchi. Ningependa kuweka kifungu husika:
39.-(1) Mtu hatastahili kuchaguliwa kushika kiti cha Rais wa
Jamhuri ya Muungano isipokuwa tu kama-
(a) ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri ya Muungano kwa
mujibu wa Sheria ya Uraia.
(b) ametimiza umri wa miaka arobaini;
(c) ni mwanachama, na mgombea aliyependekezwa na
chama cha siasa;
(d) anazo sifa za kumwezesha kuwa Mbunge au Mjumbe
wa Baraza la Wawakilishi,
(e) katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya
Uchaguzi Mkuu hajawahi kutiwa hatiani katika
Mahakama yoyote kwa kosa lolote la kukwepa kulipa
kodi yoyote ya Serikali.


Nadhani kama Zitto angeshinda uchaguzi wa kuwa mwenyekiti wa Chadema, ina maana Chadema isingeweza kuweka mgombea katika Uchaguzi Mkuu wa 2010. Lakini inawezekana kupitia Katiba ya Chadema, mgombea Urais sio lazima awe Mwenyekiti wa Chama. Lakini sijaona pendekezo hili katika Katiba ya Chama!!



Sina uhakika kama Wazee wa Chadema walikuja na jibu husika, au kama kuna watu wengine walioshatoa jibu 'sahihi' humu. Kwa maoni yangu, hii ndo ingekuwa sababu yao. Kama nimekosea...tujadili na kupata shule.
 
Baada ya kutokea mshangao mkubwa kwa wanaJF na maswali mengi kubaki wazi kutokana na kitendo cha Wazee wa Chadema kumwomba Mh Zitto kutogombea Wenyekiti wa Chadema, nadhani walifanya kitendo hicho kwa busara kutokana na Katiba ya Nchi. Ningependa kuweka kifungu husika:
39.-(1) Mtu hatastahili kuchaguliwa kushika kiti cha Rais wa
Jamhuri ya Muungano isipokuwa tu kama-
(a) ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri ya Muungano kwa
mujibu wa Sheria ya Uraia.
(b) ametimiza umri wa miaka arobaini;
(c) ni mwanachama, na mgombea aliyependekezwa na
chama cha siasa;
(d) anazo sifa za kumwezesha kuwa Mbunge au Mjumbe
wa Baraza la Wawakilishi,
(e) katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya
Uchaguzi Mkuu hajawahi kutiwa hatiani katika
Mahakama yoyote kwa kosa lolote la kukwepa kulipa
kodi yoyote ya Serikali.

Nadhani kama Zitto angeshinda uchaguzi wa kuwa mwenyekiti wa Chadema, ina maana Chadema isingeweza kuweka mgombea katika Uchaguzi Mkuu wa 2010. Lakini inawezekana kupitia Katiba ya Chadema, mgombea Urais sio lazima awe Mwenyekiti wa Chama. Lakini sijaona pendekezo hili katika Katiba ya Chama!!


Sina uhakika kama Wazee wa Chadema walikuja na jibu husika, au kama kuna watu wengine walioshatoa jibu 'sahihi' humu. Kwa maoni yangu, hii ndo ingekuwa sababu yao. Kama nimekosea...tujadili na kupata shule.

Pumba tupu! Nani kakwambia lazima mwenyekiti wa chama ndiye awe mgombea wao urais?

Mbona Mtei na Makani hawakuwahi kugombea urais?

Kweli JF ina vihiyo maana kama hujui hilo kweli una hata uwezo wa kuchangia JF? Inaelekea hata kunyonya hujamaliza.
 
Pumba tupu! Nani kakwambia lazima mwenyekiti wa chama ndiye awe mgombea wao urais?

Mbona Mtei na Makani hawakuwahi kugombea urais?

Kweli JF ina vihiyo maana kama hujui hilo kweli una hata uwezo wa kuchangia JF? Inaelekea hata kunyonya hujamaliza.

- What a great thinking!, ndani ya the home of the Great Thinkers! it is incredible!

Respect.

Kamanda FMEs!
 
....
Lakini inawezekana kupitia Katiba ya Chadema, mgombea Urais sio lazima awe Mwenyekiti wa Chama. Lakini sijaona pendekezo hili katika Katiba ya Chama!!
.....

Pumba tupu! Nani kakwambia lazima mwenyekiti wa chama ndiye awe mgombea wao urais?

Mbona Mtei na Makani hawakuwahi kugombea urais?

Kweli JF ina vihiyo maana kama hujui hilo kweli una hata uwezo wa kuchangia JF? Inaelekea hata kunyonya hujamaliza.

hahahaha...Una hasira mh. DUH!! inaelekea hukusoma post vizuri. Ningeomba hiyo sehemu inayotoa tamko hilo basi. Mimi sijaiona katika Katiba ya Chadema.
 
Pumba tupu! Nani kakwambia lazima mwenyekiti wa chama ndiye awe mgombea wao urais?

Mbona Mtei na Makani hawakuwahi kugombea urais?

Kweli JF ina vihiyo maana kama hujui hilo kweli una hata uwezo wa kuchangia JF? Inaelekea hata kunyonya hujamaliza.

Engineer,

vipi umesoma vizuri msg ya mtoa mada..........?
 
Baada ya kutokea mshangao mkubwa kwa wanaJF na maswali mengi kubaki wazi kutokana na kitendo cha Wazee wa Chadema kumwomba Mh Zitto kutogombea Wenyekiti wa Chadema, nadhani walifanya kitendo hicho kwa busara kutokana na Katiba ya Nchi. Ningependa kuweka kifungu husika:
39.-(1) Mtu hatastahili kuchaguliwa kushika kiti cha Rais wa
Jamhuri ya Muungano isipokuwa tu kama-
(a) ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri ya Muungano kwa
mujibu wa Sheria ya Uraia.
(b) ametimiza umri wa miaka arobaini;
(c) ni mwanachama, na mgombea aliyependekezwa na
chama cha siasa;
(d) anazo sifa za kumwezesha kuwa Mbunge au Mjumbe
wa Baraza la Wawakilishi,
(e) katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya
Uchaguzi Mkuu hajawahi kutiwa hatiani katika
Mahakama yoyote kwa kosa lolote la kukwepa kulipa
kodi yoyote ya Serikali.

Nadhani kama Zitto angeshinda uchaguzi wa kuwa mwenyekiti wa Chadema, ina maana Chadema isingeweza kuweka mgombea katika Uchaguzi Mkuu wa 2010. Lakini inawezekana kupitia Katiba ya Chadema, mgombea Urais sio lazima awe Mwenyekiti wa Chama. Lakini sijaona pendekezo hili katika Katiba ya Chama!!


Sina uhakika kama Wazee wa Chadema walikuja na jibu husika, au kama kuna watu wengine walioshatoa jibu 'sahihi' humu. Kwa maoni yangu, hii ndo ingekuwa sababu yao. Kama nimekosea...tujadili na kupata shule.
Sijaona connection yoyote jinsi katiba ya nchi ilivyowapa busara wazee wa chadema, pamoja na vifunvu ulivyovinukuu kwa sababu hata wewe mwenye umeshajijibu kuwa si lazima mwenyekitiw a Chadema ndiye awe mgombea urais
 
Pumba tupu! Nani kakwambia lazima mwenyekiti wa chama ndiye awe mgombea wao urais?

Mbona Mtei na Makani hawakuwahi kugombea urais?

Kweli JF ina vihiyo maana kama hujui hilo kweli una hata uwezo wa kuchangia JF? Inaelekea hata kunyonya hujamaliza.

Umekurupuka kujibu rafiki yangu. Ndo maana kuna msemo usemao "Hasira hasara". Yawezekana umejibu tu ukiwa na hasira zako na kumshambulia mwenzako na badala yake sasa wewe ndo unaonekana kuwa ni mtu wa ajabu katika ukumbi huu wa great thinkers. Mara nyingine hata kama mtu ametoa hoja ambayo wewe unaiona ina makosa jaribu kutumia lugha nzuri utaeleweka zaidi. Naomba kutoa hoja.
 
Last edited:
Sijaona connection yoyote jinsi katiba ya nchi ilivyowapa busara wazee wa chadema, pamoja na vifunvu ulivyovinukuu kwa sababu hata wewe mwenye umeshajijibu kuwa si lazima mwenyekitiw a Chadema ndiye awe mgombea urais

mh, inaelekea sikueleza vizuri. Nilijaribu kupitia Katiba ya Chadema kabla ya kuweka hii post nikiwa naangalia kama wao kumnyima kugombea urais kupitia ticket ya chama ilikuwa ni uvunjaji wa Katiba ya Nchi. Lakini mpaka sasa sijaona kwenye Katiba yao jinsi wanavyomteua Mgombea wao. Basi i thought this might be the reason behind the decision. Na ndio maana nikasema kama nimekosea, fresh tu au sio? It's simple my reasoning might be wrong.
 
Baada ya kutokea mshangao mkubwa kwa wanaJF na maswali mengi kubaki wazi kutokana na kitendo cha Wazee wa Chadema kumwomba Mh Zitto kutogombea Wenyekiti wa Chadema, nadhani walifanya kitendo hicho kwa busara kutokana na Katiba ya Nchi. Ningependa kuweka kifungu husika:
39.-(1) Mtu hatastahili kuchaguliwa kushika kiti cha Rais wa
Jamhuri ya Muungano isipokuwa tu kama-
(a) ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri ya Muungano kwa
mujibu wa Sheria ya Uraia.
(b) ametimiza umri wa miaka arobaini;
(c) ni mwanachama, na mgombea aliyependekezwa na
chama cha siasa;
(d) anazo sifa za kumwezesha kuwa Mbunge au Mjumbe
wa Baraza la Wawakilishi,
(e) katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya
Uchaguzi Mkuu hajawahi kutiwa hatiani katika
Mahakama yoyote kwa kosa lolote la kukwepa kulipa
kodi yoyote ya Serikali.


Nadhani kama Zitto angeshinda uchaguzi wa kuwa mwenyekiti wa Chadema, ina maana Chadema isingeweza kuweka mgombea katika Uchaguzi Mkuu wa 2010. Lakini inawezekana kupitia Katiba ya Chadema, mgombea Urais sio lazima awe Mwenyekiti wa Chama. Lakini sijaona pendekezo hili katika Katiba ya Chama!!



Sina uhakika kama Wazee wa Chadema walikuja na jibu husika, au kama kuna watu wengine walioshatoa jibu 'sahihi' humu. Kwa maoni yangu, hii ndo ingekuwa sababu yao. Kama nimekosea...tujadili na kupata shule.

Unajua uzuri wa hii post, na JF kwa ujumla, ni ukweli kwamba hii post inatuelimisha kwamba katiba yetu iko inconsistent and incoherent.

What we need badly than anything else is constitutional reform.
 
Unajua uzuri wa hii post, na JF kwa ujumla, ni ukweli kwamba hii post inatuelimisha kwamba katiba yetu iko inconsistent and incoherent.

What we need badly than anything else is constitutional reform.

Expand comment yako zaidi basi mh. Mimi kitu ninachoona Katiba inaongelea avenue ya Urais lazima ipitie kwenye Chama, alafu papo hapo hai-regulate Vyama. Chama kikimnyima mtu uhuru wa maoni (kama CCM ilivyojaribu kumbinya Spika), hali inakuwaje?
 
Pumba tupu! Nani kakwambia lazima mwenyekiti wa chama ndiye awe mgombea wao urais?

Mbona Mtei na Makani hawakuwahi kugombea urais?

Kweli JF ina vihiyo maana kama hujui hilo kweli una hata uwezo wa kuchangia JF? Inaelekea hata kunyonya hujamaliza.

Mkuu naona ulikuwa unapata safari baridi nini?? Manake umemfyatukia mchangiaji bila kusoma vizuri alicho kiandika. Vipi lakini kyela hawajambo??
 
Kwa ufupi katiba ya Tanzania inahitaji marekebisho makubwa kwani ilitengenezwa wakati wa chama kimoja na ukiisoma maelezo mengi yanalenga mwongozo wa chama kimoja.

Halafu hivi suala la mgombea binafsi limeishia wapi?? kwa sababu nilitaka nipambane na JK mwakani.
 
Pumba tupu! Nani kakwambia lazima mwenyekiti wa chama ndiye awe mgombea wao urais?

Mbona Mtei na Makani hawakuwahi kugombea urais?

Kweli JF ina vihiyo maana kama hujui hilo kweli una hata uwezo wa kuchangia JF? Inaelekea hata kunyonya hujamaliza.

Mkuu nafikiri ingekuwa bora kupunguza munkari, kumwambia mwenzako kuwa hajamaliza kunyonya wakati na yeye ana uhuru wa kuchangia kile anachofikiria sidhani kama ni uungwana. Nafikiri mchangia mada aligusia kuwa Mwenyekiti wa chadema si lazima awe mgombea urais.
Tafadhali muombe radhi, That's how JF works.
 
Back
Top Bottom