Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,507
- 23,693
Wazee wanalalamika vijana hatuwapishi viti kwenye daladala, wazee wenyewe hawa hawa tunakimbizana nao kufuatilia mademu?
Inaumiza mzee anastaafu halafu kiinua mgongo chake anatumia kuinulia mti nyama ili akakamue binti mkali. Kwani uongo? Hawa wazee wanahonga mabinti siku hizi sisi vijana hatutakiwi kabisa. Wazee wanatumia pesa za penseni kutuchukulia mademu zetu.
Halafu kesho yake wanataka tuwapishe kwenye seat. Mbona wao hawatupishi kwenye harakati za kusaka mademu? Mimi simpishi mzee acha iwe noma tu. Sometime unampisha mzee akija binti mkali mzee naye anampisha anamwambia anakaribia kushuka. Bint anakaa mzee anaanza msemesha kuonesha yeye anajali kuliko sisi vijana ambao hatukumpisha binti.
Mh. Rais wazee walikuwa zamani. Siku hizo wanasema uzee mwisho Chalinze huku town kila mtu babe. Hawa wazee wengi wanatumia kwa mademu zetu pesa za kiinua mgongo. Wakiishiwa ndo wanaanza kutulia home.
Nao pia waache zao mtu anaona gari imejaa anakaza kupanda wakati kwenye foleni ipo nyingine haija jaa. Anaamini vijana watampisha tu. Hii ni kama kutafutiana kutiana ubaya tu.
Muache kikimbizana nasi kufukuzia mademu wadogo ndo nasi tutaanza kuwapisha kwenye seats. Lakini pia mtulie mzee unahangaiaka na safari zisizo na lazima kwenda Mlimani City kuzunga zunguka eti unaosha macho.halafu sis tunahangaika kwenda kwenye kusaka minyato mnataka tuchoke zaidi.
Inaumiza mzee anastaafu halafu kiinua mgongo chake anatumia kuinulia mti nyama ili akakamue binti mkali. Kwani uongo? Hawa wazee wanahonga mabinti siku hizi sisi vijana hatutakiwi kabisa. Wazee wanatumia pesa za penseni kutuchukulia mademu zetu.
Halafu kesho yake wanataka tuwapishe kwenye seat. Mbona wao hawatupishi kwenye harakati za kusaka mademu? Mimi simpishi mzee acha iwe noma tu. Sometime unampisha mzee akija binti mkali mzee naye anampisha anamwambia anakaribia kushuka. Bint anakaa mzee anaanza msemesha kuonesha yeye anajali kuliko sisi vijana ambao hatukumpisha binti.
Mh. Rais wazee walikuwa zamani. Siku hizo wanasema uzee mwisho Chalinze huku town kila mtu babe. Hawa wazee wengi wanatumia kwa mademu zetu pesa za kiinua mgongo. Wakiishiwa ndo wanaanza kutulia home.
Nao pia waache zao mtu anaona gari imejaa anakaza kupanda wakati kwenye foleni ipo nyingine haija jaa. Anaamini vijana watampisha tu. Hii ni kama kutafutiana kutiana ubaya tu.
Muache kikimbizana nasi kufukuzia mademu wadogo ndo nasi tutaanza kuwapisha kwenye seats. Lakini pia mtulie mzee unahangaiaka na safari zisizo na lazima kwenda Mlimani City kuzunga zunguka eti unaosha macho.halafu sis tunahangaika kwenda kwenye kusaka minyato mnataka tuchoke zaidi.