Wamtafute samwel sitta as ndo kajigeuza Nape wa Mwakyembe!
Hao wazee wapuuzi kweli. Sasa wamuone rais kwani yeye ndio daktari wa Mwakyembe? Si wamfate Mwakyembe mwenyewe? Nakumbuka waliwahi kufunga safari kumuona Mkapa wakimpigia debe Mwandosya miaka ya nyuma so sishangai ndio tabia zao.