...Kabla hawajaenda, wamemuuliza Mhe. Mwakyembe? Kama kweli ni wazee, nategemea watakuwa angalau na busara ya kufanya hilo kwanza.WAZEE wilayani Kyela wametoa tamko zito kuhusu utata uliojificha juu ya ugonjwa usiojulikana unaomtafuna, Mbunge wao, Dk. Harrison Mwakyembe, na kufikia hatua ya kutaka kwenda Ikulu kumwona Rais Jakaya Kikwete awaambie Watanzania endapo mtoto wao kapewa sumu au ni ugonjwa wa Mungu.
Watu waliohudhuria huo mkutano hawakuzidi hata 50 japo ulitangazwa kwa muda mrefu.
Kweli kyela sasa siasa zimewachosha sana. Sio tena Kyela ile ya Mwakyembe kupata ajali 2009 ambapo watu walijazana makanisani kuomba apate nafuu. Kyela ya 2012 kila mtu anaangalia mambo yake na ugumu wa maisha.
Kuna mkuu mmoja hapa JF aliwai kuleta uzi mmoja makini sana kuwa "Hakuna haja ya kumuonea huruma Dr Mwakyembe,kwani anavuna alichopanda" kwa hiyo nyie watu wa Kyela tulieni...
Kuna mkuu mmoja hapa JF aliwai kuleta uzi mmoja makini sana kuwa "Hakuna haja ya kumuonea huruma Dr Mwakyembe,kwani anavuna alichopanda" kwa hiyo nyie watu wa Kyela tulieni...
Dah,
Hizi story tumezisikia sana nafikiri huu muda kama tumeshindwa kufuatilia hi tumuachie mungu pekee. Maana kuna sheria za kitabibu ambazo zina govern disclosure of patient info, KWANZA UNAWEZA KUTOA TAARIFA YA MGONJWA KWA MTU ANAYEMUUGUZA,KWA JAMII KAMA HUO UGONJWA UNAWEZA ULETE MADHARA KWA HIYO JAMII, KAMA KUNA KESI MAHAKAMANI NA INAHITAJI USHAIDI WA DAKTARI, nje ya hizo conditions mwenye ugonjwa anakuwa kwenye position ya yeye binafsi kusema kinachomsibu ko ugonjwa wa mtu inakuwa siri yake na daktari wake. Lakini kinachoshangaza hapa ni kuwa mh yeye anajua anaumwa nini, kama ameona serikali haiwezi kusema anaumwa nini si aseme huo ni ugonjwa wake mwenyewe.
Halafu napata taabu kwani nadhani dr alifika Kyela na hao wazee walikuwa na muda wa kujua na kumuuliza anasumbuliwa na nini. Personally nimemwona dr kama mbunge wangu na kumjulia hali (mzaliwa wa Kyela). So, hili suala naona tulitazame vizuri sio kila siku media zinataka kuuza kisa to discus ishu hizo bila kufikia solution. Hata ungekuwa ww mwandishi unaumwa daily unazungumziwa unaweza upoteze maisha haraka coz of ANXIETY(FEAR, HOFU).
Mimi ningewaomba wazee wangu watulie mpaka jamaa mwenyewe atakapoamua kusema maana kuendelea kuuza magazeti kwa kupiga kelele ambazo mimi nahisi ni za kinafiki haina maana ni kwa nini nasema za kinafiki (DR KAUGUA ALMOST 7months walikuwa wapi). Halafu hata kama sikai sana Kyela but at least naijua, imetawaliwa na MAKUNDI,VISA, UNAFIKI, NDO MAANA HATUENDELEI.
Mwisho nasisitiza mimi ni mzaliwa wa Kyela
Wazee hawa wana haki ya kujibiwa,unataka ku2aminisha kuwa manumba alishawaeleza watanzania wakti ali2hadaa,nadhani wewe ni mmoja wa mamvi suppoters
Wazee hawana kazi ya kufanya,badala ya kwenda kumuona mgonjwa na kujua anaumwa nini eti wanaunda tume kumuona rais!!!
tumia ubongo wako hata chembe, sidhani kama kuna tatizo la kuwa mamvi supporter....we unaona kuna logic ndani ya kauli za hawa wazee?