Wazee Mwang'onda na Hassy Kitine waasisi wa TISS imara Tanzania

Tilitiltitiliii, Alfajiri upepo wa bahari umenijiaa niakona nyota ya kwanza ya masharikii, kuishi visiwani mama kuna utamu wake Unguja Pemba Zanzibar ni visiwa vya kwetu eeeh tilitittliiitiltili siku nitafika Pemba mimi sidanganyi unitembeze sehemu zote hadi mwishoo, kuishi visiwani mamaa kuna utamu wake unguja, pemba, zanzibar visiwa vya kwetu eeeh uhhuu Pembaaa uuh chunusi huyo huyo wallah sitabaki naenda pemba ndege naruka nasikia ni kuzurii jioni kuna upepo, upepo unanukiaa marashi ya karafuu nasikia ni kuzuriii jioni kuna upepo eti unanukia marashi ya kafaruu uuuuuuh Pembaaaaa Pembaaa zanzibarrr
 
Hawa usalama naona kazi yao huwa kuwalinda watawala na kuwasaidia kubaki madarakani mbona kwenye masilahi ya nchi huweka ubinafsi wa watu wachache. It's better hichi chombo kiachwe kuendeshwa kijitegeme kwa masilahi ya nchi na sio watawala. Sasa ka kazi yao kuu ni kufatilia upinzani tutafka kweli ndo mana hatuendelei

Diva wakuu wa usalama/ujasusi kote duniani huchaguliwa Na Raisi Au waziri Mkuu wa hiyo nchi.Kwa sababu hizo lazima walinde watawala ambao masilahi Ya usalama /ujasusi yako kwenye watawala.
 
Tatizo ni kuamini nchi isipokuwa na vita basi ni salama tupo katika third world hata kufikiri kwetu ni hivyo hivyo TISS hailindi National Interests Ukawa walikuwa wana cook data CCM walikuwa wanaingiza kura feki mshindi anapatikana then unakuja kutwambia hauna upande seriously

Hii nchi wanasiasa wana nguvu sana kuliko wanajeshi, na watu wa usalama wamebaki na kiapo kisicho kikamilifu wanalinda mipaka na uhuru wa nchi dhidi ya maadui wa nje katiba inavunjwa wapo silent!!!!

hivi hamkona wanajeshi wa Egypt walichokifanya. mtu yeyote yule anayetishia kuligawa taifa kwa namna yeyote mtu yeyote anayetishia amani ya nchi hata awe Rais huyo mtu huwa anakuwa contained ki halali au ki haramu. Taifa linapasuka na nyie mnaona eti inabidi kurudisha imani kwa wananchi "insanity"
Tatizo shule mkuu, "vihio" ndio wamejaa.
 
Nadhani yako mambo usiyoyajua kuhusu utendaji wa hawa jamaa zetu. Bila kwenda bar watakata wapi taarifa? Enzi ya mchanga walikuwepo wenye kutembea kwa mguu, baiskeli,pikipiki, vox wagon, saloon car, station wagon nk. Lkn pia wapo walikuwa wakinywa mataputapu manzese nk, via magomeni na kinondoni, New Africa na Kilimanjaro. Kwahiyo tambua umuhimu wa gharama za kuwatunza hawa jamaa. Siyo rahisi
 
Hakuna wasilolijua hawa jamaa ila wakifuatilia tu wananyooshewa kidole. Hata kama ni wewe ukizingatia mama yoyoo na vile visungura vyake utanywea tu utake usitake
 
Nikiwa ni mmoja wa washiriki kupiga kura, nimebaini kwamba nchi yetu ina majasusi imara kabisa katika ukanda huu wa Afrika.

Kuna mambo ya msingi kabisa kuhusu usalama na mstakabali wa nchi ambayo yanahitaji kuweka itikadi ya vyama pembeni.

Kama mheshimiwa Edward Lowasa "angetoka" katika uchaguzi huu, basi Tanzania ingekuwa katika hali ingine kabisa.

Kama kweli Edward Lowasa ambae hapo mwanzo niliweza kumpinga na baadae kuyumbishwa kidogo na kuhama kwake kwenda Chadema, amesaidiwa kwa hali na mali na baadhi ya watu kutoka nje, kuhakikisha anaingia Ikulu.

Kama kweli UKAWA waliajiri baadhi ya raia wa kigeni kuja Tanzania na kuvuruga matokeo pale kwenye maficho yao kwa kujaribu kurekebisha kuongeza idadi ya kura.

Kuna madai mengi mengi tu yanasemwa kuhusiana na matukio mbalimbali yalotokea nchi ilipokuwa ikielekea kwenye uchaguzi mkuu.

Lakini kazi ya kunusa, kufuatilia, kubaini na hatimae kufanya shambulizi pale ofisi ya ukusanyaji kura, ilikuwa ni kazi maalum na iliopangwa kwa ustadi mkubwa.

Sasa hatua ya kwanza imefanikiwa na ilobakia ni kumalizia kesi.

Ila yote tisa, kumi ni jinsi matunda ya vijana wa wazee Apson Mwango'onda na Hassy Kitine wanavyofanya kazi yao kwa uadilifu mkubwa. Wengi wa maofisa ni matokeo ya kazi ya wazee hawa wawili katika kuuhakikisha tunakuwa na maofisa mahiri kwenye kazi hii ngumu, ingawa mara kwa mara kumekuwepo na vijana wachanga ambao bado hawajamfikia Jason Bourne.

Idaya hii ya usalama au TISS ni idara imara, makini na inazidi kufanya kazi zake ikiwa kwa mwendo wa taratibu lakini makini.

Bila shaka yoyote raisi mteule Dr John Pombe Magufuli atazidi kuimarisha idara hii kwa mtindo mwingine kabisa, nikimaanisha kuwaondoka vijana ambao hawana dhamira ya dhati kufanya kazi hio, wenye kupoteza muda kwenye mabaa na kumbi za starehe na kuchezea magari ya serikali kiasi cha kupoteza fedha za kugharamia mafuta.

Je vipi mchango wako kwa wazee hawa wawili Apson Mwang'onda na Hassy Kitine?
Siku zile dege kubwa la uarabuni linachukua wanyama pale KIA hawa vijana wa Kitine na Mwang'onda walikua hawajaanza kazi?
 
Siku zile dege kubwa la uarabuni linachukua wanyama pale KIA hawa vijana wa Kitine na Mwang'onda walikua hawajaanza kazi?

Mkuu, kuna mwenzetu mmoja hapa anaitwa Barafu, ana info zaidi kuhusu hujuma zilizokuwa zinafanywa katika hivi viwanja na hatua ambazo mpaka sasa zimechukuliwa na serikali ya awamu ya tano.
 
huu uchaguzi ulikua kipimo kingine kikubwa cha ubora wa TISS, wamefanikiwa kwa kiasi fulani
Maisha baada ya uchaguzi hao uliowaandika kwa herufi kubwa bila digits wamefanikiwa kipi??
 
Ila hii ajenda yako siyo yenye afya sana ikisemwa mbele ya wananchi tukajua kwa dhahiri mbeleko ya tiss kwa ccm maana itazidi kukijengea chuki hichi chombo! Wakati wote, inabidi itenganishwe CCM na hiyo idara masikioni mwa wananchi! BTW, Bila mchunga kondoo ni upuuzi hata kama hao kondoo wameshiba vipi......ndio maana naamini bado OR kama yeye anastahili kujumuishwa kwenye sifa zako!

Kwa kuongezea, mimi naona mission isn't over yet, maana Watanzania sio wamoja tena baada ya huu uchaguzi hivyo inabidi kuwa unganisha haraka!
Kila mahala wakti wa kampeni, Mh Magufuli hakuwa tatizo, ila ni CCM ndio haitakiwi! Lazima waisafishe CCM kwa kuondoa dead woods, na wananchi waone ikitendeka hivyo ili Imani irudi kwa CCM na serikali pengine na kwa hiyo idara pia!

Magazeti ya chama na serikali na vyombo vingine, viache mipasho na kejeli dhidi ya wapinzani, muda wa kampeni umeisha sasa, kumbe inafaa umsifie hata adui yako maana mlichokuwa mkikigombea umeshakipata tayari, hii ni kwa mustakabari wa Taifa letu sote!
Well said..
 
Asante kwa ufafanuzi mzuri. Basi mie nilijua ni kitengo cha polisi, chenye support ya wanajeshi (jwtz), ambacho kinafanya kazi ya kuhakikisha viongozi wa nchi (hasa mkuu wa nchi na mawaziri wake) wanakuwa salama wakati wote. Kwa maana hiyo hata mtu asiyekuwa polisi au mwanajeshi aweza kufanya kazi yaTISS?
Huyu alikuwa na umri gani wakati anaandika haya
 
Mnaisifia idara inayoikumbatia CCM huku mambo kadhaa yameikumba nchi na kutikisa uchumi wetu...

Mitandao miovu ya wauza na waleta unga, wauzaji wa meno ya ndovu imekuwa ikiitesa nchi...

Yaani hayo ni machache kati ya mengi...
Kuna mmoja alikuwa mtu mzito KABSA pale airport enzi ya Jakaya ila Sasa hivi kastaafu tangu 2016 alikuwa anahusika KABSA na dili za unga kasitaafu ana gari zake tano na gorofa lake tegeta
 
Nikiwa ni mmoja wa washiriki kupiga kura, nimebaini kwamba nchi yetu ina majasusi imara kabisa katika ukanda huu wa Afrika.

Kuna mambo ya msingi kabisa kuhusu usalama na mstakabali wa nchi ambayo yanahitaji kuweka itikadi ya vyama pembeni.

Kama mheshimiwa Edward Lowasa "angetoka" katika uchaguzi huu, basi Tanzania ingekuwa katika hali ingine kabisa.

Kama kweli Edward Lowasa ambae hapo mwanzo niliweza kumpinga na baadae kuyumbishwa kidogo na kuhama kwake kwenda Chadema, amesaidiwa kwa hali na mali na baadhi ya watu kutoka nje, kuhakikisha anaingia Ikulu.

Kama kweli UKAWA waliajiri baadhi ya raia wa kigeni kuja Tanzania na kuvuruga matokeo pale kwenye maficho yao kwa kujaribu kurekebisha kuongeza idadi ya kura.

Kuna madai mengi mengi tu yanasemwa kuhusiana na matukio mbalimbali yalotokea nchi ilipokuwa ikielekea kwenye uchaguzi mkuu.

Lakini kazi ya kunusa, kufuatilia, kubaini na hatimae kufanya shambulizi pale ofisi ya ukusanyaji kura, ilikuwa ni kazi maalum na iliopangwa kwa ustadi mkubwa.

Sasa hatua ya kwanza imefanikiwa na ilobakia ni kumalizia kesi.

Ila yote tisa, kumi ni jinsi matunda ya vijana wa wazee Apson Mwango'onda na Hassy Kitine wanavyofanya kazi yao kwa uadilifu mkubwa. Wengi wa maofisa ni matokeo ya kazi ya wazee hawa wawili katika kuuhakikisha tunakuwa na maofisa mahiri kwenye kazi hii ngumu, ingawa mara kwa mara kumekuwepo na vijana wachanga ambao bado hawajamfikia Jason Bourne.

Idaya hii ya usalama au TISS ni idara imara, makini na inazidi kufanya kazi zake ikiwa kwa mwendo wa taratibu lakini makini.

Bila shaka yoyote raisi mteule Dr John Pombe Magufuli atazidi kuimarisha idara hii kwa mtindo mwingine kabisa, nikimaanisha kuwaondoka vijana ambao hawana dhamira ya dhati kufanya kazi hio, wenye kupoteza muda kwenye mabaa na kumbi za starehe na kuchezea magari ya serikali kiasi cha kupoteza fedha za kugharamia mafuta.

Je vipi mchango wako kwa wazee hawa wawili Apson Mwang'onda na Hassy Kitine?
Yule aliyemtolea Nape bastola mchana kweupe hadharani alitumwa na Kipilimba au Bashite au Ras wa Tabora? Nahitaji jibu kutoka kwako mtoa mada.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom