Wazee mnaopanda daladala, kupishwa "Seat" ni hisani tu. Siyo jambo la muhimu!

Ni hapa Afrika tu lakini mambelezi kuna seats special za wenye mahitaji maalum, wazee, walemavu na wajawazito tena zimechorwa picha zao. Seats hizi ziko karibu na mlango wa kushukia ili wasipate tabu.

Huwa nikiwaona wazee ninafikiria mchango wao katika taifa kulifanya lilivyo leo na sisi tunaishi kwa amani.

Tofauti ya uungwana na ushenzi ni kamstari tu.
VIJANA WETU AKISHAKALIA SITI HASA BAADA YA MAPAMBANO PALE MLANGONI ANAONA AMEIMALIZA DUNIA.
 
Huu utaratibu wa kupishana seats uko africa tu.. wenzetu kwenye subway hawana hizo mambo
 
Hello,
Kuna tabia imeanzishwa inayoshangaza sana.
Kama umefikia umri mkubwa na hujafanikiwa kupata japo ka KIRIKUU, basi SUALA la kupishwa siti kwenye daladala ni HISANI.
Suala La Kuwaona Vijana Eti Hawana Nidhamu, Hawawapishi Seat Halina Mantiki

Kama Mtu Kakupisha Ni Sawa, Ila Asipokupisha BASI. Usione Kama Ni Jambo La Lazima Wewe Kupata Seat.

Kama Unaona Gari Limejaa USIPANDE - SUBIRI LENYE SITI.

Wewe Unaona Gari Limejaa Na Unapanda Hivyo Hivyo - Halafu Unataka Seat ?
Nadhani imeeleweka.

Wazaramo, Ngoja niwajuze tu, mnaujinga sana.

Dar sisi ni wajinga sana.
Mtu unaishi MWANANYAMALA MSISIRI, unatembea kwenda kituo cha Hospitali, unakuta gari zimejaa za kwenda MBAGALA, unaamua kwenda makumbusho kwa miguu ili upate siti, ukifika makumbusho unapanda gari yako kwenda MBAGALA, gari hiyo inapita pale mwananyamala na ikifika kituoni inakuta abiria anaona kabisa gari imejaa na badala asubirie analazimisha kupanda huku akiangalia kwa jicho la huruma ili apishwe, ukimpisha hata shukrani hatoi, anakaa kama vile ilikuwa ni haki yake.

baada ya kukaa, Unashangaa kashuka kituo cha mbele, yaani pale KOMAKOMA, na ile siti anakaa mtu mwengine, wewe unasimama mpaka Mbagala , kwanza unafika umechoka, pili upo kwenye risk ya kuibiwa na tatu hata kujisomea kitabu, ama kupumzika tu hupati.
Mimi naona kila mtu ale usawa wa kamba yake, kupanga ni kuchagua, kama maisha kayashindwa, auze nyumba ahamie kwao huko Mtwara.

Wananchi hawapendi haya mambo na ndio maana abiria wengi wanakimbiaga siti za mlangoni,
 
Kwa wenzetu wamewekewa kabisa viti kwa ajili ya wazee kwani wote ipo siku tutazeeka na kuhitaji msaada
Tena mlangoni kabisa ili iwe rahisi wao kushuka
Najua siku hizi binadamu tumeongeza kiungo kipya kwenye mwili (phone)
Haya kitumieni kupingaView attachment 1227547
 
Hello,
Kuna tabia imeanzishwa inayoshangaza sana.
Kama umefikia umri mkubwa na hujafanikiwa kupata japo ka KIRIKUU, basi SUALA la kupishwa siti kwenye daladala ni HISANI.
Suala La Kuwaona Vijana Eti Hawana Nidhamu, Hawawapishi Seat Halina Mantiki

Kama Mtu Kakupisha Ni Sawa, Ila Asipokupisha BASI. Usione Kama Ni Jambo La Lazima Wewe Kupata Seat.

Kama Unaona Gari Limejaa USIPANDE - SUBIRI LENYE SITI.

Wewe Unaona Gari Limejaa Na Unapanda Hivyo Hivyo - Halafu Unataka Seat ?
Nadhani imeeleweka.

Inategemea na Malezi uliyolelewa.
Kiutaratibu Mtoto lazima apishe MTU mzima siti.
Vilevile MTU yoyote lazima ampishe mlemavu.Mzee na Mjamzito.

Tofauti na hapo ujue umepungukiwa Nidhamu.
 
Sure kabisa mimi sijawahi mpisha Mzee yoyote siti kama alishindwa kujijenga enzi za ujana wake basi asisumbue vijana tulio kwenye wakati wetu

Acha Kufuru.
Maisha yanachangamoto nyingi.
Ukiweza kuwahi siti kwenye Daladala haina maana ndio umemaliza.
 
Kuna mahali wazee Wamesema vijana mnatakiwa kuwaachia siti?au kujipendekeza kwenu?afu mtoto wa kiume kulilia siti za daladala huo ni uchoko..yani na nguvu zako zoteunaons kusimama kutoka makumbusho au tabata mpka posta ni issue..??fala kweli!!!nyie ndo mnaowatukana wazazi wenu..kama simama upate uchungu ununue gari lako na ujana wako wote unajiona mjanja kugombania siti na wazee?jinga sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom