Wazee Mkuranga watoa wito Wanafunzi wanaopata Mimba wachapwe viboko 12 baada ya siku 40 Tokea Kujifungia

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,898
IMG-20181225-WA0049.jpg

Mwanahabari Huru
 
Viboko 12 ni vichache,kuanzia darasa la kwanza hadi form 2 au 3 mwanafunzi anakuwa amekula zaidi ya mboko 800 hawezi kutishwa na tuviboko 12.
Wafanye 12 kwa siku 40.
As if sina dada.
 
Waweza kukuta wazee hao ndio wanaohusika kwa kuwapa mimba ...matumizi ya bangi hayajawahi kumuacha mtu salama
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom