Wadau vipi
Mimi nina vits ilikuwa na nguvu sana but hivi majuzi imeanza tabia ya ajabu kuna muda kutoka gear namba 2 kwenda tatu inachelewa
Namba 2 kuna muda usiku unakuta uko speed tu inasoma 0 then all of sudden inaenda 40
Na kuna muda inarudi na nguvu kama kawaida
Pia kuna muda ukiweka mafuta kidogo ikiwa silencer
Inazima
Mtaalam anitafute 0652472486
Mimi nina vits ilikuwa na nguvu sana but hivi majuzi imeanza tabia ya ajabu kuna muda kutoka gear namba 2 kwenda tatu inachelewa
Namba 2 kuna muda usiku unakuta uko speed tu inasoma 0 then all of sudden inaenda 40
Na kuna muda inarudi na nguvu kama kawaida
Pia kuna muda ukiweka mafuta kidogo ikiwa silencer
Inazima
Mtaalam anitafute 0652472486