Wazee Ipi Bora ccm A au ccm B

Hueleweki mkuu thats why mpaka muda huu wanajf hawajacomment chochote. Me nimeamua kujilipua kukwambia!
 
Hakuna kilicho bora. CCM A wanamagamba, CCM B wanafiki, mafundi wa kulia-lia na kujipendekeza...ni mzigo ukiubeba utajuta na kuutua kazi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom