Heheeeeee awamu hii ile mikutano ya rais na Wazee wa Daslam hakuna.
Naona imesahaulika ya kwamba palipo na wazee hapaharibiki jambo.
Busara zao zina maana kubwa,haishangazi kuona mambo yanatuendea kombo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.