Ramea
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,146
- 4,053
Kwa yeyote mwenye mtoto shule ya wasichana Masasi bila shaka atakuwa anakumbuka vitimbwi vya huyu headmistress jeuri, kiburi, asiye na heshima na kauli chafu kama amemeza choo.
Mama huyu akitoa suspension hata kwa kosa la kumfinya shavu mwanafunzi, aliwahi kuwafukuza watoto zaidi ya 20 wakarudishwa kwa Amri ya R.E.O mkoa wa Mtwara...kwa kikao rasmi cha wazazi, walimu, afsa elim mkoa na wanafunzi.
Headmistress huyu yasemekana hutukana walimu wake hadharani. Hakika hii ni habari njema kwa wanajumuia ya Masasi girls high school, wazazi na wanafunzi bila shaka hata walimu walichoshwa na customer care ya mama huyu.
Asante Magufuli na watendaji wa Elimu mkoa wa Mtwara kwa kuliona hili...kwani shule ile ni kongwe na huchukua vijana toka mikoa yote Tanzania bara. Ni shule ya kihistoria pia kwani hata speaker mstaafu Mama Anne Makinda alipata elimu yake pale.
Mama huyu akitoa suspension hata kwa kosa la kumfinya shavu mwanafunzi, aliwahi kuwafukuza watoto zaidi ya 20 wakarudishwa kwa Amri ya R.E.O mkoa wa Mtwara...kwa kikao rasmi cha wazazi, walimu, afsa elim mkoa na wanafunzi.
Headmistress huyu yasemekana hutukana walimu wake hadharani. Hakika hii ni habari njema kwa wanajumuia ya Masasi girls high school, wazazi na wanafunzi bila shaka hata walimu walichoshwa na customer care ya mama huyu.
Asante Magufuli na watendaji wa Elimu mkoa wa Mtwara kwa kuliona hili...kwani shule ile ni kongwe na huchukua vijana toka mikoa yote Tanzania bara. Ni shule ya kihistoria pia kwani hata speaker mstaafu Mama Anne Makinda alipata elimu yake pale.