Wazazi wenzangu: Tuwe makini na katuni hizi

Popo-

JF-Expert Member
Jan 21, 2022
282
575
Wazazi na walezi wenzangu!

Kama mzazi, naomba niwashirikisne hii picha na muone kuwa ni jinsi gani baadhi ya vipindi vinahusika katika kuharibu tabia za watoto wetu/wajukuu wetu.

Ni wazi kuwa hakuna cha kukwepa hasa linapokuja swala la kipindi ambacho IMANI yetu ni kubwa kuwa kitaburudisha na kuelimisha kama siyo kutuliza akili za watoto/wajukuu zetu, ndicho nacho kimeingiliwa kwa maudhui ya KISHENZI.

Ni mhimu kuwa waangalifu hasa katika hizi channel au vipindi kwenye channel, maana kama wanaonyesha USHENZI huu...Tutawaharibu sana watoto wetu kisaikolojia n.k.

Lakini pia serikali isaidie kukagua vipindi hivi ili kabla havijarushwa basi maudhui haya yaondolewe kwanza.

Nimalizie kwa kusema:
"Kupanga ni kuchagua"
"Wa kwako ni wangu, na wangu ni wako"
"Jukumu la maadili ni la kila mtu, halina lika"


Nawatakieni heri nyote mnaopinga na kuuchukia USHETANI huu!!!
IMG_20220531_213448.jpg
 
Wazazi na walezi wenzangu!

Kama mzazi, naomba niwashirikisne hii picha na muone kuwa ni jinsi gani baadhi ya vipindi vinahusika katika kuharibu tabia za watoto wetu/wajukuu wetu.

Ni wazi kuwa hakuna cha kukwepa hasa linapokuja swala la kipindi ambacho IMANI yetu ni kubwa kuwa kitaburudisha na kuelimisha kama siyo kutuliza akili za watoto/wajukuu zetu, ndicho nacho kimeingiliwa kwa maudhui ya KISHENZI.

Ni mhimu kuwa waangalifu hasa katika hizi channel au vipindi kwenye channel, maana kama wanaonyesha USHENZI huu...Tutawaharibu sana watoto wetu kisaikolojia n.k.

Lakini pia serikali isaidie kukagua vipindi hivi ili kabla havijarushwa basi maudhui haya yaondolewe kwanza.

Nimalizie kwa kusema:
"Kupanga ni kuchagua"
"Wa kwako ni wangu, na wangu ni wako"
"Jukumu la maadili ni la kila mtu, halina lika"


Nawatakieni heri nyote mnaopinga na kuuchukia USHETANI huu!!!View attachment 2246316
Ni upumbavu mkubwa kumuachia mtoto atizame katuni ya aina yoyote ile nyumbani.

Mtoto anatakiwa akae mbali na tv na simu,tv anatakiwa atizame taarifa ya habari na vipindi vya kujenga tu.

Mtoto acheze na vitu vilivyopo nyumbani,acheze na kuku,mnunulie midoli na magari,acheze na watoto wenzie n.k


Unaposhabikia katuni alafu unakataa ushoga inakuwa haileti maana kwa sababu katuni na ushoga vyote wao ndio wafanyaji.

Solution ni kukataa katuni tu.

Watoto hawapendi katuni,bali tunawqzowaha kupenda katuni.
 
Wanaume endeleeni kuuishi umagharibi kwa kudhani nyie na wake zenu wote ni watafutaji kisha pesa za mwanamke ni za mwanamke!

Wanawake, endeleeni kuwaachia beki 3 walioishia la 3b kuwa-mould watoto wenu kwakuwa nyie ni wasomi sana kulea watoto wenu, pesa zitawalea zitakavyo.

Serikali, wanaharakati na wanajamii endeleeni kupigania haki za wanawake, tutaona hao wanawake wanaopiganiwa sasa kama wataendelea kuwa vijana kwa miaka 25 ijayo ili kuendeleza kizazi!

Itoshe kusema, mwanamke mmoja kamilifu anaweza kulea familia moja ya mpaka watu 8 kikamilifu, mwanaume mmoja kamilifu ana weza kuhudumia familia ya mpaka watu 8 kikamilifu.

Nendeni mkawatafutie watoto wenu umagharibi kwa pesa mnazozihangaikia, yatakayotoke mbele potelea mbali, ninyi nyakati zenu si zitakuwa zimepita!
 
Wazazi na walezi wenzangu!

Kama mzazi, naomba niwashirikisne hii picha na muone kuwa ni jinsi gani baadhi ya vipindi vinahusika katika kuharibu tabia za watoto wetu/wajukuu wetu.

Ni wazi kuwa hakuna cha kukwepa hasa linapokuja swala la kipindi ambacho IMANI yetu ni kubwa kuwa kitaburudisha na kuelimisha kama siyo kutuliza akili za watoto/wajukuu zetu, ndicho nacho kimeingiliwa kwa maudhui ya KISHENZI.

Ni mhimu kuwa waangalifu hasa katika hizi channel au vipindi kwenye channel, maana kama wanaonyesha USHENZI huu...Tutawaharibu sana watoto wetu kisaikolojia n.k.

Lakini pia serikali isaidie kukagua vipindi hivi ili kabla havijarushwa basi maudhui haya yaondolewe kwanza.

Nimalizie kwa kusema:
"Kupanga ni kuchagua"
"Wa kwako ni wangu, na wangu ni wako"
"Jukumu la maadili ni la kila mtu, halina lika"


Nawatakieni heri nyote mnaopinga na kuuchukia USHETANI huu!!!View attachment 2246316
Binafsi naishi Sana kikoloni yaani hata tv kwangu siitaki ni mwendo wa kujisomea vitabu. Kuna Niko kikoloni mbaya. Mfano masuala ya birth day huwa namuuliza mtu kuwa ivi babu yako aliyafanya haya kweli ama ulimbukeni tu kuiga kila kitu kisa kimetokea kwa mzungu .
Kuna muda wadada wananishangaa wananiambia yaani umesoma mpka ulaya Ila bado hujabadilika.
Yaani ukicheki chumvi ya dukani ,sukari na mafuta ya kula huwa siyapendeleo niyaone jikoni sema matunda maziwa samaki Sato dagaa mboga za majani na kuku na mayai yake halafu wa kienyeji kumbuka navipenda kinyama,kuku najitahidi nimeanza kufuga Mana yai trei ni 12k so naokoa gharama.

Nyie nendeni na dunia acha mie niwe mshamba Ila naenjoi life langu na Wala sivunii Sheria na sijashikiwa fimbo kuyaishi.
Yaani nikipata hela nyingi nikajenga majumba ya kupangisha kwa mjini mie naenda zangu kuishi porini.
Tv kwani inaongeza Nini,sijawahi sikia mtu anaumwa akashauriwa kuwa kula sana sukari chumvi ama mafuta mengi ya kula.

Yaani we've to control our short term gratification for long term benefits mfano soda inaongeza Nini mwilini sema mdomoni tamu mwilini tamu mno.so watu wanacheki instant gratification that you can't satisfy

Screenshot_20220415-141627_1.jpg
 
Kuna makatuni wala hayana ubaya, makatuni ya dstv unawaacha waangalie tu coz hayana mambo ya mapenz hata kidogo.
Ni katuni za watoto kabisa ila sio hizo animation mnazowawekea watoto nyingi ni NOT FOR KIDS.

Mtoto aangalie zile katuni zisizo na shape maalum, zinanyumbulika nyumbulika tu kama zile tom & jerry mara bata wanaongea, kiti kinaongea, meza au magari yanaongea. Ila hizo heroic animation sio nzuri kwa watoto ni za watu wazima
 
najiuliza ni kipi kitafuata baada ya ushoga kusambaa na kukubaliwa duniani kote
 
Back
Top Bottom