FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,392
- 4,468
Kwa kizungu tunaita "embarrasment, haswa kwa tabia za hawa mifugo aina ya Mbwa.
Afadhali hata kwa Kuku maana walau Mtoto mdogo huweza kufikiri tu hawa kuku wanapigana ila sasa ndio pale upo mahali na Watoto wako mmekaa mara linakuja kundi kubwa la Mbwa "wapo harusini" au hata hapo nyumbani kama mnafuga Mbwa.
Hebu wenye maarifa/mbinu tushirikishane ni nini kama mzazi ninachopaswa kufanya inapotokea hali kama hiyo maana changamoto ni pale unapoona Watoto wanavyowakodolea macho.
Afadhali hata kwa Kuku maana walau Mtoto mdogo huweza kufikiri tu hawa kuku wanapigana ila sasa ndio pale upo mahali na Watoto wako mmekaa mara linakuja kundi kubwa la Mbwa "wapo harusini" au hata hapo nyumbani kama mnafuga Mbwa.
Hebu wenye maarifa/mbinu tushirikishane ni nini kama mzazi ninachopaswa kufanya inapotokea hali kama hiyo maana changamoto ni pale unapoona Watoto wanavyowakodolea macho.