Kuna dada mmoja aliachana na mumewe, sababu alizozitoa ni kuwa mumewe alipata mwanamke mwingine hivyo yeye huyo dada akaamua kumsusa.Hadi ananieleza,alikuwa hamtaki kabisa mumewe hata kumsikia.
Baada ya kumsikiliza kwa kina nikambadili mawazo. Nilimshauri, afanye fasta fasta warudiane na mumewe. Lakini awe makini kabla ya XXXXX ahakikishe wote wamepima,vipimo vya ukimwi ni muhimu.Leo kaja kanikuta na donyoa donyoa kwenye keybord nikijibu ile thread ya pearl. Chapchap nikamuuliza mambo safii??? Akanijibu kwa huzuni kuwa mambo safi,akaendelea kueleza, ''mume wangu kaniomba msamaha,kaachana na mwanamke wake,tumepima tuko fit, ila ila ila'',duuuuu, akaanza kulia. Nilishangaa sana na kujiuliza kulikoni? baadae alipotulia,akanieleza kuwa wazazi wake WAMEKATAA WASIRUDIANE, nikamuliza kisa?
akajibu ''wanasema hawamtaki tu''.
hapo ndipo kaniacha hoi;
-wazazi wengine jamani vipi?
-au wanataka wale mahari mara ya pili? maana mtoto mwenyewe analipa kwelikwelli toto languvu?eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh naomba
mumgu anisamehe tunambiwa tusitamani wake za majirani zetu.
- au hasira za aibu?
- Kama watu walishasameheana nyie wazazi donge la nini?
- Si walishawaruhusu wakaoana mwanzoni?
- Kwa nini hawatoi sababu?
Kwa kawaida nakuwa na majibu pale pale kila ninapoulizwa jambo, lakini leo nilikwama nikamwomba tuonane kesho.Siku ya leo we acha tu.
- sijui kesho nimwambie awapuuze tu wazazi? Mungu nae anasema waheshimu baba yako na mama yako.
- Sijui nimwambie atafute mume mwingine ili aepuke laana ya wazazi?kwa kuishi na mume waliomkataa?
- Sijui nimwambie wafanye fastafasta wabandikane mimba ili aruhusiwe kurudi kwa mumewe? Ebu semeni waheshimiwa wana JF. JE? arudi au asirudi kwa mumewe?
Baada ya kumsikiliza kwa kina nikambadili mawazo. Nilimshauri, afanye fasta fasta warudiane na mumewe. Lakini awe makini kabla ya XXXXX ahakikishe wote wamepima,vipimo vya ukimwi ni muhimu.Leo kaja kanikuta na donyoa donyoa kwenye keybord nikijibu ile thread ya pearl. Chapchap nikamuuliza mambo safii??? Akanijibu kwa huzuni kuwa mambo safi,akaendelea kueleza, ''mume wangu kaniomba msamaha,kaachana na mwanamke wake,tumepima tuko fit, ila ila ila'',duuuuu, akaanza kulia. Nilishangaa sana na kujiuliza kulikoni? baadae alipotulia,akanieleza kuwa wazazi wake WAMEKATAA WASIRUDIANE, nikamuliza kisa?
akajibu ''wanasema hawamtaki tu''.
hapo ndipo kaniacha hoi;
-wazazi wengine jamani vipi?
-au wanataka wale mahari mara ya pili? maana mtoto mwenyewe analipa kwelikwelli toto languvu?eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh naomba
mumgu anisamehe tunambiwa tusitamani wake za majirani zetu.
- au hasira za aibu?
- Kama watu walishasameheana nyie wazazi donge la nini?
- Si walishawaruhusu wakaoana mwanzoni?
- Kwa nini hawatoi sababu?
Kwa kawaida nakuwa na majibu pale pale kila ninapoulizwa jambo, lakini leo nilikwama nikamwomba tuonane kesho.Siku ya leo we acha tu.
- sijui kesho nimwambie awapuuze tu wazazi? Mungu nae anasema waheshimu baba yako na mama yako.
- Sijui nimwambie atafute mume mwingine ili aepuke laana ya wazazi?kwa kuishi na mume waliomkataa?
- Sijui nimwambie wafanye fastafasta wabandikane mimba ili aruhusiwe kurudi kwa mumewe? Ebu semeni waheshimiwa wana JF. JE? arudi au asirudi kwa mumewe?