Wakuu hope mko Ok
Ngoja nijielekeze kwenye mada
Baada ya kuvumilia Kwa muda wa miaka 20 kwa kufukuzia elimu huku nikiamini siku moja elimu hii itanitoa kimaisha .
Nimetumia lasilimali nyingi sana, monetary and time kujenga future yangu, hatimaye nimejikuta ni mtumishi wa umma mwenye kulipwa ujira duni kabisa katika mazingira mabovu ya kufanyia kazi.
Wazazi waliniaminisha nikomae na elimu na nizingatie maadili. Muda wote nimekuwa mtu wa kusifiwa tu kuwa jamaa yuko smart kichwani na mwadilifu ila kiukweli Sina Hela, full Life la kuunga- unga tu.
Cha kushangaza malofa tu na watu wakupiga madeal ndo wakatoboa, vilaza tu kidizaini na full umisheni town ndo wametusua na ndio Baba mwenye nyumba na pia wanatupa lift kwenda job asubuhi.
kimtindo huwa najiona nimefeli sana kimaisha.
Sasa umri unaenda, uchaguzi wangu naona umekua chanzo cha anguko langu. Niende mbele nirudi nyuma katika hili wazazi wangu mlichangia kuniingiza chaka kwa ushauri wenu mbovu.
#My take, usijaribu kuishi ndoto za Wazazi, make sure unaishi maisha yako.
Karibuni wadau mtoe uzoefu wenu.
Ngoja nijielekeze kwenye mada
Baada ya kuvumilia Kwa muda wa miaka 20 kwa kufukuzia elimu huku nikiamini siku moja elimu hii itanitoa kimaisha .
Nimetumia lasilimali nyingi sana, monetary and time kujenga future yangu, hatimaye nimejikuta ni mtumishi wa umma mwenye kulipwa ujira duni kabisa katika mazingira mabovu ya kufanyia kazi.
Wazazi waliniaminisha nikomae na elimu na nizingatie maadili. Muda wote nimekuwa mtu wa kusifiwa tu kuwa jamaa yuko smart kichwani na mwadilifu ila kiukweli Sina Hela, full Life la kuunga- unga tu.
Cha kushangaza malofa tu na watu wakupiga madeal ndo wakatoboa, vilaza tu kidizaini na full umisheni town ndo wametusua na ndio Baba mwenye nyumba na pia wanatupa lift kwenda job asubuhi.
kimtindo huwa najiona nimefeli sana kimaisha.
Sasa umri unaenda, uchaguzi wangu naona umekua chanzo cha anguko langu. Niende mbele nirudi nyuma katika hili wazazi wangu mlichangia kuniingiza chaka kwa ushauri wenu mbovu.
#My take, usijaribu kuishi ndoto za Wazazi, make sure unaishi maisha yako.
Karibuni wadau mtoe uzoefu wenu.