mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,643
- 9,745
Bado sijaona hoja ya msingi naona unazunguka zunguka tu.Wewe unadhani matunzo ni matunzo tu ya kununua vitu?
Mtoto mnunulie kila kitu ila kama humpi geunine love akajiona ni mwanadamu anaethaminiwa,huyo mtoto kwenye psychology yake atajihisi mpungufu mpaka anakufa no matter how much money au success he will have thereafter
Stop thinking the best mzazi ni mzazi anaenunua makorokoro mengi zaidi ya mwingine,ni genuine love na time for your kids and respect!
Stop this crazy thinking!
Hivi kwa mfano watoto wako wakikuuliza kuhusu achievement yako utawajibu ni kwa sababu ya babu yenu huyo wala sio mimi huoni kwamba hata watoto wako watakudharau na kukuona kilaza
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app