balimar
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 7,532
- 13,201
Bro vifurushi vya bure kule mitandaoni huwa havilipiwi?Naona huu uzi walimu wamekuja resi wanatoaje povu la kufa mtu hahahhaaaa
Unapoambiwa BURE maana yake nini
Acheni mambo zenu bure maana yake hakuna gharama sasa michango ya nini alafu kwanini asipate ripoti mpaka atoe hela hizo n tamaa
Ooh wazazi wazazii mlaumu waliosema bure sisi tunafyatua tu tunaleta BUREEE
Eleweni lugha bure haijawahi maanisha kuwa haulipi.
Utakulazimu ununue simu yenyewe, line, vocha na charger n.k.
Lipeni jamani siasa waachieni wanasiasa