miss_mbeya
JF-Expert Member
- Mar 24, 2015
- 1,073
- 1,021
Wapendwa habarini za kazi, nipende kwenda kwenye hoja yangu, wazazi wengi huwa wanasomesha watoto kama ni sehemu ya uwekezaji wao ili baadaye mtoto akipata kazi amtegemee kwa kila kitu.
Binafsi hii hali inanikera sana, tukiwa kama wazazi tusijefanya hivo ni mawazo finyu kabisa, mzazi ni wajibu kumsomesha mtoto lakini usifuje mali zako ikitegemea watoto baadaye wakubebe.
Binafsi hii hali inanikera sana, tukiwa kama wazazi tusijefanya hivo ni mawazo finyu kabisa, mzazi ni wajibu kumsomesha mtoto lakini usifuje mali zako ikitegemea watoto baadaye wakubebe.