Mimi ni mdada Nina miaka 27 niliolewa nikiwa na miaka 25 huyu mume wangu tulikutana kwa muda mfupi sikumjua sana wazazi walikataa wakaniambia atanisumbua lakin mimi nililazimisha mpaka tukafunga ndoa kanisani niliyoyaona nilikimbia mwenyewe sikuzaa Naye nashukuru wazazi wamenisamehe wamenipokea.
Shida inayonisumbua ni kutojikubali ni mwaka na nusu sasa siwezi kutoka nje wala kwenda sehemu yoyote naona aibu nahisi majirani ndugu wananicheka kuongea na marafiki naogopa nahisi wataniuliza ndoa yangu inaendeleaje.
Najuta sanaa ningewasikiliza wazazi wangu haya yasingenikuta mpaka nimekonda kwa mawazo jamani mliowahi kuachika mliikabili vipi jamii inayowazunguka
Shida inayonisumbua ni kutojikubali ni mwaka na nusu sasa siwezi kutoka nje wala kwenda sehemu yoyote naona aibu nahisi majirani ndugu wananicheka kuongea na marafiki naogopa nahisi wataniuliza ndoa yangu inaendeleaje.
Najuta sanaa ningewasikiliza wazazi wangu haya yasingenikuta mpaka nimekonda kwa mawazo jamani mliowahi kuachika mliikabili vipi jamii inayowazunguka