wazazi wako wanapo mkataa mwanaume/mwanamke unayetaka kuoa nini yatakiwa ufanye? 6 years of relation

herbsman

Member
Apr 29, 2011
81
57
jamani wazazi wana baraka katika maisha yetu sasa linapokuja suala la kukuambia hawataki uoe mtu uliyekaa naye miaka zaidi ya sita unatakiw ufanyaje?
 
Hao wazazi hawawezi kumkataa hivihivi, mwaga hayo ma-reasons.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom