herbsman Member Apr 29, 2011 81 57 Jan 7, 2012 #1 jamani wazazi wana baraka katika maisha yetu sasa linapokuja suala la kukuambia hawataki uoe mtu uliyekaa naye miaka zaidi ya sita unatakiw ufanyaje?
jamani wazazi wana baraka katika maisha yetu sasa linapokuja suala la kukuambia hawataki uoe mtu uliyekaa naye miaka zaidi ya sita unatakiw ufanyaje?
Heart JF-Expert Member Nov 29, 2011 2,673 1,704 Jan 7, 2012 #2 Mmmh....huo mtihani sasa...kwasababu zipi labda?
Tz-guy JF-Expert Member Aug 10, 2011 436 88 Jan 7, 2012 #4 Hao wazazi hawawezi kumkataa hivihivi, mwaga hayo ma-reasons.