Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Mimi ni kijana wa miaka 26,nimetokea kupendana na binti mmoja wa kinyarwanda,sasa nikaamua ni vizuri kujitambulisha kwa wazazi wake kwanza harafu nifanye mpango,upande wa kwetu wamjue pia,nikaona nifunge safari adi kwao kigali,kujitambulisha sababu mim sipend nianze kuishi na mtu bila kibali cha wazazi wake na baraka zao,
jana nikafika kwao salama,jioni ndugu zake na wazazi nikakaa nao kikao,wakaniambia inabidi nitoe mahali ya ng'ombe 50 sababu binti yao ni mweupe,eti angekuwa mweusi ingekuwa ng'ombe 5 tu,na wamekataa kupunguza,nimeongea na binti kumwambia hiyo mahali kubwa sana amesema huo ndio utaratibu wao.
Uwezo wa kutoa hizo ng'ombe 50 upo ila tatizo mimi sijampendea rangi yake ya weupe bali tabia na vitu vingine.
mimi nimevutiwa naye na yeye akanipenda.
hivo sioni ni haki kutoa hao ng'ombe 50,hivi ninavyokwambia baada ya kutoelewana nao sana nimeamua kuondoka bila ata kuaga na nimeamua kuachana na mawazo ya kuoa tena.
naomba ushauri niachane naye kabisa sababu binti naye anakomaa ndio utaratibu wao na mimi sitak huo utaratibu wao wa kutoa ng'ombe 50,nafikiria bora niwe single tu naomba ushauri wenu wana jf
jana nikafika kwao salama,jioni ndugu zake na wazazi nikakaa nao kikao,wakaniambia inabidi nitoe mahali ya ng'ombe 50 sababu binti yao ni mweupe,eti angekuwa mweusi ingekuwa ng'ombe 5 tu,na wamekataa kupunguza,nimeongea na binti kumwambia hiyo mahali kubwa sana amesema huo ndio utaratibu wao.
Uwezo wa kutoa hizo ng'ombe 50 upo ila tatizo mimi sijampendea rangi yake ya weupe bali tabia na vitu vingine.
mimi nimevutiwa naye na yeye akanipenda.
hivo sioni ni haki kutoa hao ng'ombe 50,hivi ninavyokwambia baada ya kutoelewana nao sana nimeamua kuondoka bila ata kuaga na nimeamua kuachana na mawazo ya kuoa tena.
naomba ushauri niachane naye kabisa sababu binti naye anakomaa ndio utaratibu wao na mimi sitak huo utaratibu wao wa kutoa ng'ombe 50,nafikiria bora niwe single tu naomba ushauri wenu wana jf