wazazi wa kinyarwanda wanataka mahali ng'ombe 50 sababu binti ni mweupe...

Money Stunna

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
13,054
6,281
Mimi ni kijana wa miaka 26,nimetokea kupendana na binti mmoja wa kinyarwanda,sasa nikaamua ni vizuri kujitambulisha kwa wazazi wake kwanza harafu nifanye mpango,upande wa kwetu wamjue pia,nikaona nifunge safari adi kwao kigali,kujitambulisha sababu mim sipend nianze kuishi na mtu bila kibali cha wazazi wake na baraka zao,
jana nikafika kwao salama,jioni ndugu zake na wazazi nikakaa nao kikao,wakaniambia inabidi nitoe mahali ya ng'ombe 50 sababu binti yao ni mweupe,eti angekuwa mweusi ingekuwa ng'ombe 5 tu,na wamekataa kupunguza,nimeongea na binti kumwambia hiyo mahali kubwa sana amesema huo ndio utaratibu wao.
Uwezo wa kutoa hizo ng'ombe 50 upo ila tatizo mimi sijampendea rangi yake ya weupe bali tabia na vitu vingine.
mimi nimevutiwa naye na yeye akanipenda.
hivo sioni ni haki kutoa hao ng'ombe 50,hivi ninavyokwambia baada ya kutoelewana nao sana nimeamua kuondoka bila ata kuaga na nimeamua kuachana na mawazo ya kuoa tena.
naomba ushauri niachane naye kabisa sababu binti naye anakomaa ndio utaratibu wao na mimi sitak huo utaratibu wao wa kutoa ng'ombe 50,nafikiria bora niwe single tu naomba ushauri wenu wana jf
 
hujawahi kufanya nae mapenzi?
Kama anakupenda mwambie abebe mimba
 
  • Thanks
Reactions: SMU
hujawahi kufanya nae mapenzi?
Kama anakupenda mwambie abebe mimba

Ukimpa mimba unapigwa fine lasivyo humpati mtoto na itakuwa imekula kwako.

Ushauri kama umempenda na unataka kuishi nae kama mke na mume basi zungumza nao uwe unalipa hiyo mahari kwa installment. Lipa hata ng'ombe 5 kwanza halafu muoane baada ya hapo uwe unalipa installment yao mpaka uimalize hiyo mahari
 
hujawahi kufanya nae mapenzi?
Kama anakupenda mwambie abebe mimba

uyo binti nilimwambia kuhusu ilo la mimba akasema uyo mtoto atokuwa mtoto wangu atakuwa wa kwao nisipotoa hiyo mahali,pia kumchukua uyo mtoto nitapigwa fine
 
Mimi ni kijana wa miaka 26,nimetokea kupendana na binti mmoja wa kinyarwanda,sasa nikaamua ni vizuri kujitambulisha kwa wazazi wake kwanza harafu nifanye mpango,upande wa kwetu wamjue pia,nikaona nifunge safari adi kwao kigali,kujitambulisha sababu mim sipend nianze kuishi na mtu bila kibali cha wazazi wake na baraka zao,
jana nikafika kwao salama,jioni ndugu zake na wazazi nikakaa nao kikao,wakaniambia inabidi nitoe mahali ya ng'ombe 50 sababu binti yao ni mweupe,eti angekuwa mweusi ingekuwa ng'ombe 5 tu,na wamekataa kupunguza,nimeongea na binti kumwambia hiyo mahali kubwa sana amesema huo ndio utaratibu wao.
Uwezo wa kutoa hizo ng'ombe 50 upo ila tatizo mimi sijampendea rangi yake ya weupe bali tabia na vitu vingine.
mimi nimevutiwa naye na yeye akanipenda.
hivo sioni ni haki kutoa hao ng'ombe 50,hivi ninavyokwambia baada ya kutoelewana nao sana nimeamua kuondoka bila ata kuaga na nimeamua kuachana na mawazo ya kuoa tena.
naomba ushauri niachane naye kabisa sababu binti naye anakomaa ndio utaratibu wao na mimi sitak huo utaratibu wao wa kutoa ng'ombe 50,nafikiria bora niwe single tu naomba ushauri wenu wana jf

Aisee wewe umeliwa! Mtoto wa Kinyaru..aka Mtutsi! Watoto wote hakuna atakae kuwa wako! utakamua weeeee akitaka mimba huyo....naumwa naomba niende HOME...akirudi na mimba ya binamu unaloweka tango lako wiki anakwambia nina mimba unafurahiii! Child akitoka copyright na wa kwaoooo! kaa chonjo....Halafu tabia ya mwanamke anae mpenda mumewe mtarajiwa namtetea huyo eti ndo utaratibu ....mbona kwao wanatoa mbuzi tu anaondoka na kitu cheupeeee kama mjapani vile! Hizo hela zako zitahamia Kigali .................
 
Aisee wewe umeliwa! Mtoto wa Kinyaru..aka Mtutsi! Watoto wote hakuna atakae kuwa wako! utakamua weeeee akitaka mimba huyo....naumwa naomba niende HOME...akirudi na mimba ya binamu unaloweka tango lako wiki anakwambia nina mimba unafurahiii! Child akitoka copyright na wa kwaoooo! kaa chonjo....Halafu tabia ya mwanamke anae mpenda mumewe mtarajiwa namtetea huyo eti ndo utaratibu ....mbona kwao wanatoa mbuzi tu anaondoka na kitu cheupeeee kama mjapani vile! Hizo hela zako zitahamia Kigali .................

niliwai kumuuliza kuhusu ilo la kuzaa na ndugu zao,alisema damu yao uwa nzito hivo mtoto uwa anafanana na watu wa upande wao wala awacheat
 
niliwai kumuuliza kuhusu ilo la kuzaa na ndugu zao,alisema damu yao uwa nzito hivo mtoto uwa anafanana na watu wa upande wao wala awacheat

hayo ndo majibu yao...nzito wapi...kaka waulize watu hapo border Kigoma watakupa full story ya hao watu...lengo kuu ni kusambaa wawe wengi kudhibiti wahutu...remember TUTSI MASSACRE was due to their minority.....
 
Mimi ni kijana wa miaka 26,nimetokea kupendana na binti mmoja wa kinyarwanda,sasa nikaamua ni vizuri kujitambulisha kwa wazazi wake kwanza harafu nifanye mpango,upande wa kwetu wamjue pia,nikaona nifunge safari adi kwao kigali,kujitambulisha sababu mim sipend nianze kuishi na mtu bila kibali cha wazazi wake na baraka zao,
jana nikafika kwao salama,jioni ndugu zake na wazazi nikakaa nao kikao,wakaniambia inabidi nitoe mahali ya ng'ombe 50 sababu binti yao ni mweupe,eti angekuwa mweusi ingekuwa ng'ombe 5 tu,na wamekataa kupunguza,nimeongea na binti kumwambia hiyo mahali kubwa sana amesema huo ndio utaratibu wao.
Uwezo wa kutoa hizo ng'ombe 50 upo ila tatizo mimi sijampendea rangi yake ya weupe bali tabia na vitu vingine.
mimi nimevutiwa naye na yeye akanipenda.
hivo sioni ni haki kutoa hao ng'ombe 50,hivi ninavyokwambia baada ya kutoelewana nao sana nimeamua kuondoka bila ata kuaga na nimeamua kuachana na mawazo ya kuoa tena.
naomba ushauri niachane naye kabisa sababu binti naye anakomaa ndio utaratibu wao na mimi sitak huo utaratibu wao wa kutoa ng'ombe 50,nafikiria bora niwe single tu naomba ushauri wenu wana jf


AM behind u 100% sasa mambo gani yakufanya mtoto mtaji tena...kwanza tumependana y should it it be like they doing u a favour kwa kumuoa huyo dada.
loh! kumbe nao wana hizo story....nilikuwa napanga kuoa mnyaruwanda koz they beautiful ila kama ndio hivyo basi bora niende option 2 kwa bwana hugo chavez nikamatie mvenezuela
 
hayo ndo majibu yao...nzito wapi...kaka waulize watu hapo border Kigoma watakupa full story ya hao watu...lengo kuu ni kusambaa wawe wengi kudhibiti wahutu...remember TUTSI MASSACRE was due to their minority.....
watu wengi wananiambia hivo,nikaamua kumuuliza akaniambia hivo,lakin nafatilia zaidi
 
AM behind u 100% sasa mambo gani yakufanya mtoto mtaji tena...kwanza tumependana y should it it be like they doing u a favour kwa kumuoa huyo dada.
loh! kumbe nao wana hizo story....nilikuwa napanga kuoa mnyaruwanda koz they beautiful ila kama ndio hivyo basi bora niende option 2 kwa bwana hugo chavez nikamatie mvenezuela

mimi nimekataa mambo za kutoa ng'ombe 50 sababu eti ni mweupe,sikumpendea weupe wake,ningependa weupe ningeoa ulaya,asia etc au tz pia wapo,
 
mimi nimekataa mambo za kutoa ng'ombe 50 sababu eti ni mweupe,sikumpendea weupe wake,ningependa weupe ningeoa ulaya,asia etc au tz pia wapo,

nimekupata kaka. baki na msimamo wako huo huo mwana.
(mie bwana ni mgonjwa wa rangi nyeupe lakini nisingilipa hao cow wote)
 
Ukimpa mimba unapigwa fine lasivyo humpati mtoto na itakuwa imekula kwako.

Ushauri kama umempenda na unataka kuishi nae kama mke na mume basi zungumza nao uwe unalipa hiyo mahari kwa installment. Lipa hata ng'ombe 5 kwanza halafu muoane baada ya hapo uwe unalipa installment yao mpaka uimalize hiyo mahari

waambie wakupunguzie angalau mbuzi 50 badala ya ng'ombe,Ng'ombe 5O huo ni ufisadi na haukubaliki kabisa!!
 
Wahima kwa sasa wanauza ngo'me 1 Tsh 600,000

600,000*50=30,000,000

Jiandae kulipa hizo pesa
 
Back
Top Bottom