marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 964
- 1,685
Nimempenda binti wa kilokole sanaa, mnooo na nataka kumuoa. Sujaomba hata busu nikaomba kwenda kwa wazazi wake ili nifuate taratibu zote na si uchochoroni.
Cha ajabu wazazi wa binti wamekataa kisa mimi sio wa imani yao. Nikasema okay, mimi nakuja kuokoka na nitakuwa muumini wa kanisa lao bado hawataki!
Nimeshindwa kuelewa kabisa shida ipo wapi!
Cha ajabu wazazi wa binti wamekataa kisa mimi sio wa imani yao. Nikasema okay, mimi nakuja kuokoka na nitakuwa muumini wa kanisa lao bado hawataki!
Nimeshindwa kuelewa kabisa shida ipo wapi!