Mzazi bila kua mnoko hawa watoto watatushinda. Huyu dogo kwanza yuko form one, halafu shule yao ni mwiko mwanafunzi kua na simu.
Aliporudi nikamkeep busy na mazungumzo, baadae nikamuagiza sehemu mbali kidogo. Chapchap nikafungua mlango wa chumba anacholala, kijasusi nikakamata begi nikaanza kupekua, kwanza nimekuta condom 4, inaonekana zilikua 6 hivo 2 ameshatumia, halafu nimekuta simu na anachat na mabinti tu wanaelezana kwamba hua anaruka fensi, saa sita usiku anaenda mtaani kwa hao wanawake, pia nimeona application za kubet nyingi.
Kwahiyo ni vizuri tukawa makini na hawa vijana wetu, nimefunga begi nikatoka kwa kujikausha sasa nataka atulie kama siku tatu nimuwashie moto hadi ajue Baba yake aliwahi kua muhuni zamani.
Aliporudi nikamkeep busy na mazungumzo, baadae nikamuagiza sehemu mbali kidogo. Chapchap nikafungua mlango wa chumba anacholala, kijasusi nikakamata begi nikaanza kupekua, kwanza nimekuta condom 4, inaonekana zilikua 6 hivo 2 ameshatumia, halafu nimekuta simu na anachat na mabinti tu wanaelezana kwamba hua anaruka fensi, saa sita usiku anaenda mtaani kwa hao wanawake, pia nimeona application za kubet nyingi.
Kwahiyo ni vizuri tukawa makini na hawa vijana wetu, nimefunga begi nikatoka kwa kujikausha sasa nataka atulie kama siku tatu nimuwashie moto hadi ajue Baba yake aliwahi kua muhuni zamani.